• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
TUNDUMA TOWN COUNCIL
TUNDUMA TOWN COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA MJI TUNDUMA

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mipango
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Rasilimaliwatu na Utawala
      • Miipangofiji na Mazingira
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Afya
      • Maji
      • Mipango, Takwaimu na Ufuatiliaji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Manunuzi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ufugaji wa Nyuki
  • Fulsa na Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Kamati ya Uchumi, Mipango Takwimu
      • Kamati ya Elimu, Afya na maji
      • Kamati ya Kazi, Uchumi na Mazingira
      • Kamati ya Ukimwi
      • Ethics Committee
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

TUNDUMA YAPAUA VYUMBA VYA MADARASA 63

Imewekwa : April 2nd, 2020

Mkurugenzi wa mji wa Tunduma Bi. Regina Bieda akigawa mabati Bandle 262 yaliyo gharimu pesa za kitanzania 78,047,732.15 ambayo yanakwenda kupaua vyumba 63 vya madarasa ndani ya Mji wa Tunduma


Mkurugenzi wa Tunduma Bi. Regina Bieda kulia akiongea na watumishi wa

 Idara ya elimu Sekondari na Msingi wakati wa kuwakabidhi Mabati


Bi. Regina amesema “Nawataka wote mkasimamie upauaji wa maboma yote kwani Mabati haya tumeamua kununua kiwandani hasa kwa lengo la kupata Bidhaa bora na zenye viwango huku tukiokoa fedha za Serikali”

Mkurugenzi wa Tunduma Bi. Regina Bieda kulia akiongea na watumishi wa   Idara ya elimu Sekondari na Msingi wakati wa kuwakabidhi Mabati

Pia Mkurugenzi aliwashukuru wafanyakazi wa Halmashauri ya mji wa Tunduma kwa kushikamana katika kukusanya mapato kwani pesa za kununulia mabati hayo ni za mapato ya ndani.

“Pesa hizi ni za walipakodi hivyo tunatakiwa kuhakikisha hakuna kununua vitu ambavyo havina ubora ndomaana tumeamua kuchukua mabati yenye ubora na uimara moja kwa moja toka kiwandani tukiwa na uhakika nayo sio ya kununua mitaani”




Pia ameeleza “tutaendelea kununua vifaa vya Idara ya Elimu mara tunapopata bajeti. Tutaendelea kubana matumizi yasiyo ya lazima ili kuhakikisha miradi ya maendeleo kwa ujumla inasonga mbele”

Matangazo

  • KUITWA KWENYE USAILI October 22, 2020
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2021 TUNDUMA December 18, 2020
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA SHULE ZA BWENI 2021 MKOA WA SONGWE December 18, 2020
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI ZA MKATABA July 09, 2020
  • Onyesha Zote

Habari mpya

  • MPAKA WA TUNDUMA NA ZAMBIA KUBAKI WAZI

    July 06, 2020
  • WALEMAVU TUNDUMA KUNEEMEKA

    July 09, 2020
  • LICHA YA ZAMBIA KUFUNGA MPAKA, TUNDUMA CHAPENI KAZI - RC MWANGELA

    May 20, 2020
  • TUNDUMA YAPAUA VYUMBA VYA MADARASA 63

    April 02, 2020
  • Onyesha Zote

Maktaba ya video

Ubunifu mkoa wa Songwe
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Songwe Shindani Blogspot
  • Watumishi Portal
  • Tunduma yapata hati Inayoridhisha
  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2019
  • Tangazo la kazi sekta ya Afya
  • Sherehe za Muungano
  • Kibali cha Matangazo

Tovuti mashuhuri

  • Ofisi ya Rais, Ikulu
  • Utumishi
  • OR-TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu (NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti kuu ya Serikali

Idadi ya watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Msampania, Chapwa - Tunduma

    Sanduku la Posta: P. O. BOX 73

    Simu ya Mezani: +255 25 2957389

    Simu ya Mkononi: +255 754 549 511

    Barua Pepe: td@tundumatc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki ©2018 Halmashauri ya mji Tunduma. Haki zote zimehifadhiwa