• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
TUNDUMA TOWN COUNCIL
TUNDUMA TOWN COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA MJI TUNDUMA

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mipango
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Rasilimaliwatu na Utawala
      • Miipangofiji na Mazingira
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Afya
      • Maji
      • Mipango, Takwaimu na Ufuatiliaji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Manunuzi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ufugaji wa Nyuki
  • Fursa na Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Kamati ya Uchumi, Mipango Takwimu
      • Kamati ya Elimu, Afya na maji
      • Kamati ya Kazi, Uchumi na Mazingira
      • Kamati ya Ukimwi
      • Ethics Committee
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

MAJINA YA WALIOPITA KATIKA USAILI WA ZOEZI LA SENSA 2022 HALMASHAURI YA MJI TUNDUMA

28 July 2022

Mkuu wa Wilaya ya Momba anawatangazia wananchi wote waliofanya usaili wa Ajira ya muda za UKARANI, USIMAMIZI WA MAUDHUI NA TEHAMA kwa zoezi la SENSA ya Watu na Makazi ya Mwaka 2022 katika Halmashauri ya Mji Tunduma kuwa majina ya waliofaulu katika Usaili huo tayari yametoka

Mafunzo yatafanyika katika KUMBI TATU TOFAUTI ndani ya  Mji wa Tunduma siku ya  IJUMAA Tarehe 29/07/2022 saa 2:00 Asubuhi


KUMBI ZA KUFANYIA MAFUNZO YA SENSA KWA KATA

1. SHULE YA SEKONDARI MWL. J. K. NYERERE

  • KATA YA CHIPAKA
  • KATA YA MUUNGANO
  • KATA YA MAJENGO
  • KATA YA MWAKAKATI
  • KATA YA UWANJANI


2. SHULE YA SEKONDARI TUNDUMATC (MAPOROMOKO)

  • KATA YA MAPOROMOKO
  • KATA YA TUNDUMA
  • KATA YA KALOLENI
  • KATA YA MAKAMBINI
  • KATA YA MPANDE


3. SHULE YA MSINGI ELISABENE

  • KATA YA CHAPWA
  • KATA YA CHIWEZI
  • KATA YA MPEMBA
  • KATA YA SOGEA
  • KATA YA KATETE


WASHIRIKI WANATAKIWA KUZINGATIA YAFUATAYO: -

  • Kufika ukumbini kwa kuzingatia muda uliopangwa
  • Kuvaa mavazi nadhifu na yenye heshima
  • Kuja na kalamu ya wino (pen), kalamu ya risasi (pencil) na Daftari la kumbukumbu (notebook)


NB: Wale ambao hawataona majina yao kwenye tangazo hili watambue kwamba   

          hawakufanya vizuri katika usaili na wasisite kuomba tena mara nafasi nyingine 

          zitakapotangazwa


Majina ya walioitwa yameambatanishwa hapa chini


Kupata majina hayo bofya hapa chini


MAJINA YA WALIOITWA KATIKA MAFUNZO YA UKARANI, MAUDHUI NA TEHAMA.pdf







Matangazo

  • MAJINA YA WALIOPITA KATIKA USAILI WA ZOEZI LA SENSA 2022 HALMASHAURI YA MJI TUNDUMA July 28, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WASIMAMIZI WA TEHAMA KATIKA ZOEZI LA SENSA 2022 July 18, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WASIMAMIZI WA MAUDHUI KATIKA ZOEZI LA SENSA 2022 July 19, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI MAKARANI KATIKA ZOEZI LA SENSA 2022 July 19, 2022
  • Onyesha Zote

Habari mpya

  • TUNDUMA YAONGOZA TENA MITIHANI KIDATO CHA SITA 2022

    July 05, 2022
  • SHEREHE ZA UTIAJI SAINI KATI YA TBA NA TUNDUMA ZAFANYIKA

    June 27, 2022
  • TUNDUMA KINARA HOJA ZA CAG MKOA WA SONGWE YAPATA HATI INAYORIDHISHA MIAKA SITA MFULULIZO

    June 24, 2022
  • NMB TUNDUMA YAFUNGA MWAKA KIVINGINE

    June 20, 2022
  • Onyesha Zote

Maktaba ya video

Ubunifu mkoa wa Songwe
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Songwe Shindani Blogspot
  • Watumishi Portal
  • Tunduma yapata hati Inayoridhisha
  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2019
  • Tangazo la kazi sekta ya Afya
  • Sherehe za Muungano
  • Kibali cha Matangazo

Tovuti mashuhuri

  • Ofisi ya Rais, Ikulu
  • Utumishi
  • OR-TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu (NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti kuu ya Serikali

Idadi ya watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Msampania, Chapwa - Tunduma

    Sanduku la Posta: P. O. BOX 73

    Simu ya Mezani: +255 25 2957388

    Simu ya Mkononi: +255 752 807 767

    Barua Pepe: td@tundumatc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki ©2018 Halmashauri ya mji Tunduma. Haki zote zimehifadhiwa