• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
TUNDUMA TOWN COUNCIL
TUNDUMA TOWN COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA MJI TUNDUMA

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mipango
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Divisheni
      • Divisheni ya Utawala na Usimamizi wa Rasilimaliwatu
      • Divisheni ya Biashara, Viwanda na Uwekezaji
      • Divisheni ya Elimu ya Awali na Elimu ya Msingi
      • Divisheni ya Elimu ya Sekondari
      • Divisheni ya Maendeleo ya Jamii
      • Divisheni ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Divisheni ya Miundombinu na Maendeleo ya Miji na Vijijini
      • Divisheni ya Afya, Ustawi wa Jamii na Huduma za Lishe
      • Divisheni ya Mipango na Uratibu
    • Vitengo
      • Kitengo cha Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Udhibiti Taka na Usafi wa Mazingira
      • Kitengo cha Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
      • Kitengo cha Maliasili na Uhifadhi wa Mazingira
      • Kitengo cha Huduma za Sheria
      • Kitengo cha Fedha na Uhasibu
  • Fursa na Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya Afya , Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Lishe bora kwa Afya imara
      • Mapambano dhidi ya Malaria
      • Mapambano dhidi ya Dawa za Kulevya
      • Mapambano dhidi ya VVU/UKIMWI
    • Huduma ya Elimu
      • Huduma ya Elimu ya Awali na Elimu ya Msingi
      • Huduma ya Elimu ya Sekondari
    • Huduma ya Maji
    • Huduma ya Kilimo
    • Huduma ya Mifugo
    • Huduma ya Uvuvi
    • Huduma ya Maendeleo ya Jamii
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Kamati ya Uchumi, Mipango Takwimu
      • Kamati ya Elimu, Afya na maji
      • Kamati ya Kazi, Uchumi na Mazingira
      • Kamati ya Ukimwi
      • Ethics Committee
      • Kamati ya Uchumi, Elimu na Afya
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Instagram
    • Facebook
  • Nyaraka
    • Nyaraka
    • Miongozo

'Chapwa Stendi Tumemaliza'

Imewekwa : April 2nd, 2024

Na Benton Nollo, TTC

Kikundi cha Vijana Waendesha Pikipiki cha Stendi ya Chapwa, Halmashauri ya Mji Tunduma kimefanikiwa kumaliza mkopo wake wa shilingi milioni 48.6 ambazo ni mikopo isiyo na riba kwa vikundi vya ujasiriamali ya Wanawake, Vijana na Watu Wenye Ulemavu kupitia asilimia 10 ya mapato ya ndani na marejesho kwa mwaka wa fedha 2022/2023.

Kikundi hicho chenye Wanachama 18 kimefanikiwa kumaliza mkopo huo kwa wakati tarehe 31 Machi 2024 ambao waliutumia kununua pikipiki 18, sasa wamekabidhiwa rasmi na Halmashauri ya Mji Tunduma, kadi za umiliki wa pikipiki hizo ambazo kwa sasa ni mali ya Kikundi hicho.

Akizungumza kwa niaba ya Mkuu wa Divisheni ya Maendeleo ya Jamii katika Halmashauri hiyo, Veronica Msemwa wakati wa hafla fupi ya makabidhiano iliyofanyika Makao Makuu ya Halmashauri leo tarehe 02 Aprili 2024, amesema kikundi hicho kimeonesha uaminifu mkubwa kwani kimekamilisha marejesho katika kipindi cha miaka miwili ya mkataba wa marejesho.

“Nitumie nafasi hii kuwapongeza kwa kumaliza mkopo wenu kwa wakati kwani mlikopeshwa Septemba 2022 na mmemaliza tarehe 31 Machi 2024, pia nawaasa mzitumie pikipiki hizi vizuri ili ziendelee kuwaingizia kipato na muendeleze kikundi chenu ili muweze kupata fursa nyingine zitakazotolewa na Halmashauri.” Alisema Msemwa.

Kwa upande wake Katibu wa Kikundi hicho, David Mwasaka ameishukuru Halmashauri ya Mji Tunduma kupitia Divisheni ya Maendeleo ya Jamii kwa kuwaamini na kuwakopesha vijana mkopo huo ambao umewafanya waweze kumiliki pikipiki hizo ambazo watazitumia kujiingizia kipato na kujikwamua kiuchumi.

"Kiukweli tunaishukuru sana Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwani kupitia Halmashauri ya Mji Tunduma tulikopeshwa shilingi milioni 48.6na tumefanikiwa kurejesha kwa wakati.

Mwasaka ametumia fursa hiyo kuwaasa vijana wengine ambao wanachukua mikopo kuwa waaminifu na kufanya marejesho kwa wakati ili fedha hizo ziweze kuwanufaisha vijana wengine wenye uhitaji.

Matukio katika Picha:

(Picha zote na Benton Nollo)


Matangazo

  • Tangazo la Mkutano wa Kawaida wa Baraza la Madiwani kwa Kipindi cha Robo ya Tatu ya Mwaka wa Fedha 2024/2025 May 14, 2025
  • Orodha ya Majimbo Mapya na Yaliyobadilishwa Majina May 12, 2025
  • Taarifa kwa Umma Kuhusu Watahiniwa 694 Kufanya Mtihani wa Taifa wa Kidato cha Sita 2025 May 03, 2025
  • Taarifa kwa Umma February 27, 2025
  • Onyesha Zote

Habari mpya

  • Mashindano ya UMISSETA Ngazi ya Halmashauri Yaanza Rasmi

    June 02, 2025
  • DAS Nkinda: Ziara ya Viongozi DR Congo Ina Manufaa Tunduma, Taifa

    May 30, 2025
  • Tunduma TC Yang'ara Mpira wa Miguu, Kwaya, Bongo Fleva UMITASHUMTA

    June 28, 2025
  • Dkt. Kasululu Ahitimisha Mashindano ya UMITASHUMTA

    May 28, 2025
  • Onyesha Zote

Maktaba ya video

Ubunifu mkoa wa Songwe
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Songwe Shindani Blogspot
  • Watumishi Portal
  • Tunduma yapata hati Inayoridhisha
  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2019
  • Tangazo la kazi sekta ya Afya
  • Sherehe za Muungano
  • Kibali cha Matangazo

Tovuti mashuhuri

  • Ofisi ya Rais, Ikulu
  • Utumishi
  • Tovuti ya Mkoa wa Songwe
  • OR-TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu (NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo

Idadi ya watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Msampania, Chapwa - Tunduma

    Sanduku la Posta: P. O. BOX 73

    Simu ya Mezani: +255 25 2957388

    Simu ya Mkononi: +255 756 427 307

    Barua Pepe: td@tundumatc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki ©2018 Halmashauri ya mji Tunduma. Haki zote zimehifadhiwa