• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
TUNDUMA TOWN COUNCIL
TUNDUMA TOWN COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA MJI TUNDUMA

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mipango
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Rasilimaliwatu na Utawala
      • Miipangofiji na Mazingira
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Afya
      • Maji
      • Mipango, Takwaimu na Ufuatiliaji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Manunuzi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ufugaji wa Nyuki
  • Fulsa na Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Kamati ya Uchumi, Mipango Takwimu
      • Kamati ya Elimu, Afya na maji
      • Kamati ya Kazi, Uchumi na Mazingira
      • Kamati ya Ukimwi
      • Ethics Committee
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

JENGO LA UTAWALA LA HALMASHAURI YA MJI TUNDUMA KUANZA KAZI JULAI

Imewekwa : April 13th, 2022

Halmashauri ya Mji Tunduma inatekeleza mradi wa Ujenzi wa jengo la Utawala lenye thamani ya shilingi Billion tatu na milioni mia moja (TZS 3,100,000,000/=) katika Kata ya Chapwa Mtaa wa Msampania. Mradi huu utatekelezwa kwa awamu tatu. Awamu ya kwanza ilianza mwaka wa fedha wa 2020/2021 na utekelezaji ulianza  tarehe 12 April 2021 baada ya kupokea fedha za awamu ya kwanza na  sasa ni awamu ya pili iliyoanza 26 February 2022 baada ya kupokea fedha za awamu ya pili.

 

Mpaka kufikia leo 22/03/2022 Halmashauri ya Mji Tunduma imepokea jumla ya fedha kiasi cha shilingi 1,750,000,000 katika ujenzi huu

Halmashauri ya Mji Tunduma iliingia Mkataba kwa awamu ya pili na Mkadiriaji majenzi Boaz Y. Kagobe wa S.L.P 3541 Mbeya kwa mfumo wa manunuzi wa Labour based contract wenye jumla ya shilingi 63,000,000/= ambayo inajumuisha umaliziaji wa jengo kwa upande wa chini kwa kazi zote ili lianze kutumika “ground floor”, umaliziaji wa nguzo za juu, beam na kupaua “first floor”.

Katika mkataba huu wa awamu ya pili kazi zilizopangwa kutekelezwa ni kama zifuatazo:-

  • Kukarabati uzio kuzunguka eneo la mradi
  • Kukamilisha mfumo wa umeme, ICT, zimamoto (fire), maji safi na maji taka “ground floor”.
  • Kujenga nguzo za gorofa ya pili (First floor), na ring beam
  • Kupaua jengo
  • Finishing sehemu ya gorofa ya chini (ground floor) pamoja na decorations ili jengo lianze kutumika kwa floor ya chini.

Kazi zinazoendelea kwa sasa ni kama zifutazo:-

  • Upigaji wa plasta sehemu ya chini
  • Usukaji wa nondo kwa ajili beem
  • Maandalizi ya formwork kwa ajili ya jamvi la gorofa ya kwanza
  • Kununua vifaa mbalimbali vya ujenzi kadri ya mahitaji
  • Huduma zitakazotolewa kwa jengo la chini mara baada ya kukamilika ni kama zifuatazo:-
  • Ofisi ya Mwenyekiti wa Halmashauri ya Mji
  • Ofisi ya Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji
  • Ofisi ya Mwekahazina
  • Ofisi ya Mkuu wa divisheni  ya Utawala na  Utumishi
  • Ofisi ya Mkuu wa divisheni Usafi na Mazingira
  • Ofisi ya Mkuu wa divisheni ya Kilimo ,Mifugo na uvuvi
  • Ofisi ya Mkuu wa divisheni ya Maendeleo ya Jamii
  • Ukumbi wa mikutano wa Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji
  • Maegesho ya magari Zaidi ya 79
  • Jengo la juu (gorofa ya kwanza) itakapo kamilika itatoa huduma zifuatazo;
  • Ofisi ya Mkuu wa divisheni ya Ujenzi
  • Ofisi ya Mkuu wa divisheni ya Afya
  • Ofisi ya masjala bayana
  • Ofisi ya Mkuu wa Kitengo cha sheria
  • Ukumbi wa Mikutano wa Halmashauri
  • Ofisi ya Mkuu wa Kitengo cha ukaguzi wa ndani
  • Ofisi ya Mkuu wa section ya Kilimo
  • Ofisi ya Mkuu wa section ya Maliasili
  • Ofisi ya Mkuu wa divisheni ya Elimu Sekondari
  • Ofisi ya Mkuu wa divisheni ya Elimu Msingi

Mradi huu ukikamilika utakuwa mkombozi kwa wakazi wa Mji wa Tunduma pamoja na Halmashauri ya Mji wa Tunduma kwa sababu utawezesha kuepusha gharama ya kukodi jengo la Ofisi kwa Tshs. 40,000,000.00 (Milioni Arobaini) kwa mwaka.

Matangazo

  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA TUNDUMA May 03, 2022
  • TAARIFA KWA UMMA July 25, 2021
  • KUITWA KAZINI June 25, 2021
  • KUFUNGULIWA KWA HOSPITALI YA MJI TUNDUMA July 23, 2021
  • Onyesha Zote

Habari mpya

  • TUNDUMA YATOA TUZO ZENYE THAMANI YA MILIONI THELATHINI NA NNE KATIKA KILELE CHA JUMA LA ELIMU

    May 07, 2022
  • JENGO LA UTAWALA LA HALMASHAURI YA MJI TUNDUMA KUANZA KAZI JULAI

    April 13, 2022
  • TUNDUMA YAPOKEA MILIONI MIA NNE TOKA SERIKALI KUU UJENZI WA HOSTELI NA MGAHAWA

    April 04, 2022
  • UJENZI NYUMBA YA MKURUGENZI WA HALMASHAURI YA MJI TUNDUMA

    March 29, 2022
  • Onyesha Zote

Maktaba ya video

Ubunifu mkoa wa Songwe
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Songwe Shindani Blogspot
  • Watumishi Portal
  • Tunduma yapata hati Inayoridhisha
  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2019
  • Tangazo la kazi sekta ya Afya
  • Sherehe za Muungano
  • Kibali cha Matangazo

Tovuti mashuhuri

  • Ofisi ya Rais, Ikulu
  • Utumishi
  • OR-TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu (NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti kuu ya Serikali

Idadi ya watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Msampania, Chapwa - Tunduma

    Sanduku la Posta: P. O. BOX 73

    Simu ya Mezani: +255 25 2957388

    Simu ya Mkononi: +255 752 807 767

    Barua Pepe: td@tundumatc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki ©2018 Halmashauri ya mji Tunduma. Haki zote zimehifadhiwa