• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
TUNDUMA TOWN COUNCIL
TUNDUMA TOWN COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA MJI TUNDUMA

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mipango
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Divisheni
      • Divisheni ya Utawala na Usimamizi wa Rasilimaliwatu
      • Divisheni ya Biashara, Viwanda na Uwekezaji
      • Divisheni ya Elimu ya Awali na Elimu ya Msingi
      • Divisheni ya Elimu ya Sekondari
      • Divisheni ya Maendeleo ya Jamii
      • Divisheni ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Divisheni ya Miundombinu na Maendeleo ya Miji na Vijijini
      • Divisheni ya Afya, Ustawi wa Jamii na Huduma za Lishe
      • Divisheni ya Mipango na Uratibu
    • Vitengo
      • Kitengo cha Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Udhibiti Taka na Usafi wa Mazingira
      • Kitengo cha Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
      • Kitengo cha Maliasili na Uhifadhi wa Mazingira
      • Kitengo cha Huduma za Sheria
      • Kitengo cha Fedha na Uhasibu
  • Fursa na Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya Afya , Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Lishe bora kwa Afya imara
      • Mapambano dhidi ya Malaria
      • Mapambano dhidi ya Dawa za Kulevya
      • Mapambano dhidi ya VVU/UKIMWI
    • Huduma ya Elimu
      • Huduma ya Elimu ya Awali na Elimu ya Msingi
      • Huduma ya Elimu ya Sekondari
    • Huduma ya Maji
    • Huduma ya Kilimo
    • Huduma ya Mifugo
    • Huduma ya Uvuvi
    • Huduma ya Maendeleo ya Jamii
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Kamati ya Uchumi, Mipango Takwimu
      • Kamati ya Elimu, Afya na maji
      • Kamati ya Kazi, Uchumi na Mazingira
      • Kamati ya Ukimwi
      • Ethics Committee
      • Kamati ya Uchumi, Elimu na Afya
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Instagram
    • Facebook
  • Nyaraka
    • Nyaraka
    • Miongozo

Kikao cha Lishe Chafanyika

Imewekwa : August 14th, 2024

Benton Nollo, TTC

Halmashauri ya Mji Tunduma imefanya kikao cha Kamatinya Lishe kujadili taarifa ya utekekelezaji wa Afua za Lishe kwa kipindi cha robo ya nne ya mwaka wa fedha 2023/2024 ambacho kilifanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Halmashauri hiyo tarehe 14 Agosti 2024.

Kikao hicho ambacho kimeongozwa na Mkuu wa Divisheni ya Afya, Ustawi wa Jamii na Huduma za Lishe Halmashauri ya Mji Tunduma, Dkt. Sebastian Siwale kwa niaba ya Mkurugenzi wa Halmashauri hiyo, kimeketi kujadili kwa kina taarifa hiyo kwa Kitengo cha Huduma za Lishe, Divisheni ya Elimu Msingi na Awali, Divisheni ya Elimu Sekondari, Divisheni ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi pamoja na Divisheni ya Maendeleo ya Jamii.

Akiwasilisha taarifa hiyo Afisa Lishe wa Halmashauri hiyo, Frida Muhindi amesema kwa kipindi hicho watoto 15 wenye utapiamlo mkali wametibiwa katika Kituo Cha Afya Tunduma.

Kwa upande wa ulishaji watoto wachanga na wadogo, Muhindi amesema kwa kipindi hicho watoto wachanga 9,475 wamepatiwa maziwa ya mama pekee ndani ya miezi sita.

Pia, amesema kati ya watoto 40,203 waliochunguzwa hali za lishe na wazazi au walezi wao kupatiwa unasihi wa lishe, watoto 1,114 walikuwa na uzito pungufu kiasi, watoto 61 walikuwa na uzito pungufu sana, watoto 1,520 walikuwa na ukondefu kiasi na watoto 46 walikuwa na ukondefu sana.

Aidha, kwa upande wa utoaji wa vidonge vya madini chuma Afisa Lishe huyo amesema kwa kipindi hicho wajawazito 9,238 kati ya wajawazito 11,029 waliohudhuria kliniki kwenye Vituo vya Kutolea Huduma wamepatiwa madini hayo ili kupunguza matatizo yanayotokana na ukondefu wa madini chuma.

Muhindi amesema watoto 9,360 wamepatiwa Matone ya Vitamini A na watoto 242 wamepatiwa dawa za minyoo. Pia, amesema kupitia kampeni iliyofanyika Mwezi Juni 2024 watoto 33,837 wamepatiwa chanjo hiyo sawa na asilimia 101.9 ya watoto 33,210 waliolengwa.

Amesema kwa upande wa maadhimisho ya Siku ya Afya na Lishe kwenye Mitaa yamefanyika kwenye Kata zote 15 na Mitaa yote 71 ambapo walezi wenye miezi 0 - 23 wapatao 4,141 wamepatiwa unasihi, watoto 7,794 wamepimwa mzinguko wa mkono (MUAC) ambapo kati yao watoto 116 walikuwa na utapiamlo wakadiri na wawili walikuwa na utapiamlo mkali na walipatiwa rufaa kwenda kwenye vituo husika.

Matukio katika Picha:

(Picha zote na Julius Evandino, TTC)


Matangazo

  • Tangazo la Mkutano wa Kawaida wa Baraza la Madiwani kwa Kipindi cha Robo ya Tatu ya Mwaka wa Fedha 2024/2025 May 14, 2025
  • Orodha ya Majimbo Mapya na Yaliyobadilishwa Majina May 12, 2025
  • Taarifa kwa Umma Kuhusu Watahiniwa 694 Kufanya Mtihani wa Taifa wa Kidato cha Sita 2025 May 03, 2025
  • Taarifa kwa Umma February 27, 2025
  • Onyesha Zote

Habari mpya

  • Mashindano ya UMISSETA Ngazi ya Halmashauri Yaanza Rasmi

    June 02, 2025
  • DAS Nkinda: Ziara ya Viongozi DR Congo Ina Manufaa Tunduma, Taifa

    May 30, 2025
  • Tunduma TC Yang'ara Mpira wa Miguu, Kwaya, Bongo Fleva UMITASHUMTA

    June 28, 2025
  • Dkt. Kasululu Ahitimisha Mashindano ya UMITASHUMTA

    May 28, 2025
  • Onyesha Zote

Maktaba ya video

Ubunifu mkoa wa Songwe
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Songwe Shindani Blogspot
  • Watumishi Portal
  • Tunduma yapata hati Inayoridhisha
  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2019
  • Tangazo la kazi sekta ya Afya
  • Sherehe za Muungano
  • Kibali cha Matangazo

Tovuti mashuhuri

  • Ofisi ya Rais, Ikulu
  • Utumishi
  • Tovuti ya Mkoa wa Songwe
  • OR-TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu (NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo

Idadi ya watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Msampania, Chapwa - Tunduma

    Sanduku la Posta: P. O. BOX 73

    Simu ya Mezani: +255 25 2957388

    Simu ya Mkononi: +255 756 427 307

    Barua Pepe: td@tundumatc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki ©2018 Halmashauri ya mji Tunduma. Haki zote zimehifadhiwa