• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
TUNDUMA TOWN COUNCIL
TUNDUMA TOWN COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA MJI TUNDUMA

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mipango
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Divisheni
      • Divisheni ya Utawala na Usimamizi wa Rasilimaliwatu
      • Divisheni ya Biashara, Viwanda na Uwekezaji
      • Divisheni ya Elimu ya Awali na Elimu ya Msingi
      • Divisheni ya Elimu ya Sekondari
      • Divisheni ya Maendeleo ya Jamii
      • Divisheni ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Divisheni ya Miundombinu na Maendeleo ya Miji na Vijijini
      • Divisheni ya Afya, Ustawi wa Jamii na Huduma za Lishe
      • Divisheni ya Mipango na Uratibu
    • Vitengo
      • Kitengo cha Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Udhibiti Taka na Usafi wa Mazingira
      • Kitengo cha Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
      • Kitengo cha Maliasili na Uhifadhi wa Mazingira
      • Kitengo cha Huduma za Sheria
      • Kitengo cha Fedha na Uhasibu
  • Fursa na Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya Afya , Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Lishe bora kwa Afya imara
      • Mapambano dhidi ya Malaria
      • Mapambano dhidi ya Dawa za Kulevya
      • Mapambano dhidi ya VVU/UKIMWI
    • Huduma ya Elimu
      • Huduma ya Elimu ya Awali na Elimu ya Msingi
      • Huduma ya Elimu ya Sekondari
    • Huduma ya Maji
    • Huduma ya Kilimo
    • Huduma ya Mifugo
    • Huduma ya Uvuvi
    • Huduma ya Maendeleo ya Jamii
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Kamati ya Uchumi, Mipango Takwimu
      • Kamati ya Elimu, Afya na maji
      • Kamati ya Kazi, Uchumi na Mazingira
      • Kamati ya Ukimwi
      • Ethics Committee
      • Kamati ya Uchumi, Elimu na Afya
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Instagram
    • Facebook
  • Nyaraka
    • Nyaraka
    • Miongozo

MKUU WA MKOA WA SONGWE ATATUA MGOGORO WA USAFIRI TUNDUMA - MBEYA

Imewekwa : November 8th, 2022

Mkuu wa Mkoa wa Songwe, Mhe. Waziri Kindamba amekutana na wadau wanaotoa huduma ya usafirishaji kutoka Tunduma-Mbeya, Mpemba-Tunduma na kutatua mgogoro ambao umedumu kwa siku mbili na kuleta kadhia kwa wananchi.

Kikao hicho ambacho kimewakutanisha viongozi na wamiliki wa Hiace, Bodaboda, Bajaji na Coaster pamoja na viongozi wa Serikali ya Halmashauri ya Mji Tunduma, Wilaya ya Momba na Mkoa wa Songwe wamekubaliana kwa pamoja kufanya kazi kwa kufuata sheria na hawataruhusu mgomo wowote kufanyika mpaka pale njia zote za majadiliano ziwe zimefika mwisho.

Mkuu wa Mkoa wa Songwe, Mhe. Waziri Kindamba amesema mambo ambayo wamekubaliana ni yafuatayo.

  1. Magari (Daladala) yanayofanya safari za Chipaka -Standi Kuu ya Tunduma (Mpemba) kituo cha mwisho cha kubeba au kushusha abiria kitakuwa ni Uzunguni na yakitoka Standi Kuu ya Tunduma (Mpemba) kituo cha kwanza kitakuwa Uzunguni.
  2. Magari yanayofanya safari za Standi Kuu ya Tunduma (Mpemba) - Mbeya yakitoka Stendi Kuu (Mpemba) kituo cha kwanza cha kupakia ni kwa Mwakabwangazi na gari itakaa hapo kwa muda usiozidi dakika 5 na kuendelea Wilaya ya Mbozi, hivyo hivyo yakitokea Mbeya kituo cha mwisho kushusha kabla ya kufika Stendi ya Mpemba kitakuwa kwa Mwakabwangazi.
  3. Magari yanayofanya safari za Dar es Salaam, Dodoma, Songea na Mikoa mingine yatashusha abiria Standi Kuu ya Tunduma (Mpemba) na kama Busi ilo lina Stendi binafsi Tunduma litaruhusiwa kwenda kwenye Stendi yake binafsi.
  4. Bajaji za Tunduma zitaishia Stendi ya Sogea na zile za Mpemba zitaishia Chapwa tu.
  5. Magari yanayofanya Daladala kutoka Standi Kuu ya Tunduma (Mpemba) - Chipaka yataanza kazi kuanzia saa 10 Alfajiri hadi saa tano usiku mpaka pale magari yanayotoka Dar es Salaam na mikoani yafike Tunduma. 
  6. Magari ya yanayofanya safari Standi Kuu ya Tunduma (Mpemba) - Sumbawanga watashusha abiria Chipaka na Standi Kuu ya Tunduma (Mpemba)  tu.
  7. Marufuku gari za abiria kubadilishana abiria kwenye vituo vya kuweka mafuta, ukikamatwa hatua kali za kisheria zitachukuliwa.
  8. Uongozi wa Mji wa Tunduma uko kwenye mchakato wa kutafuta eneo Chipaka kwa ajili ya ujenzi wa Stendi ndogo ambayo itakwenda kutatua changamoto.
  9. Serikali kuziboresha Barabara zote za mchepuko zilizopo Tunduma ili wadau wa usafirishaji wafanye kazi yao kwa ufasaha zikiwemo Bajaji.

Mkuu wa mkoa amesema kuwa lazima Madereva wote wafuate sheria za barabarani pamoja na sheria za Halmashauri ya Mji Tunduma kwani wakizikiuka sheria kali zitachukuliwa dhidi ya yeyote bila kujali kampuni ya gari analofanyia kazi

Matangazo

  • Tangazo la Mkutano wa Kawaida wa Baraza la Madiwani kwa Kipindi cha Robo ya Tatu ya Mwaka wa Fedha 2024/2025 May 14, 2025
  • Orodha ya Majimbo Mapya na Yaliyobadilishwa Majina May 12, 2025
  • Taarifa kwa Umma Kuhusu Watahiniwa 694 Kufanya Mtihani wa Taifa wa Kidato cha Sita 2025 May 03, 2025
  • Taarifa kwa Umma February 27, 2025
  • Onyesha Zote

Habari mpya

  • Mashindano ya UMISSETA Ngazi ya Halmashauri Yaanza Rasmi

    June 02, 2025
  • DAS Nkinda: Ziara ya Viongozi DR Congo Ina Manufaa Tunduma, Taifa

    May 30, 2025
  • Tunduma TC Yang'ara Mpira wa Miguu, Kwaya, Bongo Fleva UMITASHUMTA

    June 28, 2025
  • Dkt. Kasululu Ahitimisha Mashindano ya UMITASHUMTA

    May 28, 2025
  • Onyesha Zote

Maktaba ya video

Ubunifu mkoa wa Songwe
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Songwe Shindani Blogspot
  • Watumishi Portal
  • Tunduma yapata hati Inayoridhisha
  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2019
  • Tangazo la kazi sekta ya Afya
  • Sherehe za Muungano
  • Kibali cha Matangazo

Tovuti mashuhuri

  • Ofisi ya Rais, Ikulu
  • Utumishi
  • Tovuti ya Mkoa wa Songwe
  • OR-TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu (NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo

Idadi ya watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Msampania, Chapwa - Tunduma

    Sanduku la Posta: P. O. BOX 73

    Simu ya Mezani: +255 25 2957388

    Simu ya Mkononi: +255 756 427 307

    Barua Pepe: td@tundumatc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki ©2018 Halmashauri ya mji Tunduma. Haki zote zimehifadhiwa