• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
TUNDUMA TOWN COUNCIL
TUNDUMA TOWN COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA MJI TUNDUMA

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mipango
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Divisheni
      • Divisheni ya Utawala na Usimamizi wa Rasilimaliwatu
      • Divisheni ya Biashara, Viwanda na Uwekezaji
      • Divisheni ya Elimu ya Awali na Elimu ya Msingi
      • Divisheni ya Elimu ya Sekondari
      • Divisheni ya Maendeleo ya Jamii
      • Divisheni ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Divisheni ya Miundombinu na Maendeleo ya Miji na Vijijini
      • Divisheni ya Afya, Ustawi wa Jamii na Huduma za Lishe
      • Divisheni ya Mipango na Uratibu
    • Vitengo
      • Kitengo cha Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Udhibiti Taka na Usafi wa Mazingira
      • Kitengo cha Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
      • Kitengo cha Maliasili na Uhifadhi wa Mazingira
      • Kitengo cha Huduma za Sheria
      • Kitengo cha Fedha na Uhasibu
  • Fursa na Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya Afya , Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Lishe bora kwa Afya imara
      • Mapambano dhidi ya Malaria
      • Mapambano dhidi ya Dawa za Kulevya
      • Mapambano dhidi ya VVU/UKIMWI
    • Huduma ya Elimu
      • Huduma ya Elimu ya Awali na Elimu ya Msingi
      • Huduma ya Elimu ya Sekondari
    • Huduma ya Maji
    • Huduma ya Kilimo
    • Huduma ya Mifugo
    • Huduma ya Uvuvi
    • Huduma ya Maendeleo ya Jamii
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Kamati ya Uchumi, Mipango Takwimu
      • Kamati ya Elimu, Afya na maji
      • Kamati ya Kazi, Uchumi na Mazingira
      • Kamati ya Ukimwi
      • Ethics Committee
      • Kamati ya Uchumi, Elimu na Afya
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Instagram
    • Facebook
  • Nyaraka
    • Nyaraka
    • Miongozo

OFISI YA RAIS-TAMISEMI YANGARA TUZO YA KINARA UTOAJI HABARI KWA UMMA

Imewekwa : December 17th, 2022

OFISI ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, imeshika nafasi ya pili kati ya Wizara 10 bora kutoa habari kwa umma.

Tuzo hizo zilizokabidhiwa na Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari zimetolewa kwenye Kongamano la kitaifa la maendeleo ya sekta ya habari lililofanyika leo jijini hapa.

Ofisi ya Rais TAMISEMI imeshika nafasi ya pili kutokana na kuchapisha habari nyingi na za kina kwenye vyombo vya habari, kuchapisha picha, kuwa na vipindi katika redio na televisheni pamoja na matumizi bora ya mitandao ya kijamii.

Mbali na Ofisi ya Rais-TAMISEMI, nafasi ya kwanza imechukuliwa na Wizara ya Afya, Ofisi ya Makamu wa Rais, Muungano na Mazingira, Wizara ya Maliasili na utalii, wizara ya mambo ya ndani ya nchi, wizara ya mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki

Pia wizara ya Kilimo, Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Wazee na Mkundi Maalum, Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo.

Pia Ofisi ya Rais TAMISEMI imetoa Tuzo Kwa Mwandishi wa magazeti ya Serikali Anastazia Anyimike Mwaipyana kutokana na mchango katika kutoa habari za wizara hiyo.

Akizungumzia Tuzo hiyo, Bi. Anastazia alisema:" nashukuru sana TAMISEMI kwa kuniheshimisha. Niwaahidi kuendelea kushirikiana na Wizara katika kuhabarisha umma katika masuala mbalimbali ikiwemo na kazi kubwa inayofanywa Rais Samia Suluhu Hassan kupitia Ofisi yake ya TAMISEMI kujulisha umma miradi inayotekelezwa inayokwenda kuwanufaisha wananchi."

Pia Ofisi ya Rais TAMISEMI imempatia Mhariri na Mtangazaji wa Milard Ayo Tv Bakari Chijuba kwa kazi kubwa aliyofanya katika kutangaza kazi za Ofisi ya Rais-TAMISEMI.

Na kupitia taasisi yake ya Wakala wa Barabara za mijini na Vijijini(TARURA) wamempatia Tuzo Shabani Omari matwebe ambaye ni Mwenyekiti wa Jukwaa la Wanahabari Mitandao ya Kijamii Tanzania ambaye pia ametoa mchango mkubwa katika kutangaza kazi za Wakala huyo.

Kongamano hili ni la kwanza kufanyika nchini na litaendelea kufanyika kila mwaka na kukutanisha Maafisa habari, waandiahi wa habari na wadau wa habari kujadili maendeleo ya sekta ya habari

Matangazo

  • Tangazo la Mkutano wa Kawaida wa Baraza la Madiwani kwa Kipindi cha Robo ya Tatu ya Mwaka wa Fedha 2024/2025 May 14, 2025
  • Orodha ya Majimbo Mapya na Yaliyobadilishwa Majina May 12, 2025
  • Taarifa kwa Umma Kuhusu Watahiniwa 694 Kufanya Mtihani wa Taifa wa Kidato cha Sita 2025 May 03, 2025
  • Taarifa kwa Umma February 27, 2025
  • Onyesha Zote

Habari mpya

  • Mashindano ya UMISSETA Ngazi ya Halmashauri Yaanza Rasmi

    June 02, 2025
  • DAS Nkinda: Ziara ya Viongozi DR Congo Ina Manufaa Tunduma, Taifa

    May 30, 2025
  • Tunduma TC Yang'ara Mpira wa Miguu, Kwaya, Bongo Fleva UMITASHUMTA

    June 28, 2025
  • Dkt. Kasululu Ahitimisha Mashindano ya UMITASHUMTA

    May 28, 2025
  • Onyesha Zote

Maktaba ya video

Ubunifu mkoa wa Songwe
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Songwe Shindani Blogspot
  • Watumishi Portal
  • Tunduma yapata hati Inayoridhisha
  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2019
  • Tangazo la kazi sekta ya Afya
  • Sherehe za Muungano
  • Kibali cha Matangazo

Tovuti mashuhuri

  • Ofisi ya Rais, Ikulu
  • Utumishi
  • Tovuti ya Mkoa wa Songwe
  • OR-TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu (NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo

Idadi ya watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Msampania, Chapwa - Tunduma

    Sanduku la Posta: P. O. BOX 73

    Simu ya Mezani: +255 25 2957388

    Simu ya Mkononi: +255 756 427 307

    Barua Pepe: td@tundumatc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki ©2018 Halmashauri ya mji Tunduma. Haki zote zimehifadhiwa