• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
TUNDUMA TOWN COUNCIL
TUNDUMA TOWN COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA MJI TUNDUMA

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mipango
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Divisheni
      • Divisheni ya Utawala na Usimamizi wa Rasilimaliwatu
      • Divisheni ya Biashara, Viwanda na Uwekezaji
      • Divisheni ya Elimu ya Awali na Elimu ya Msingi
      • Divisheni ya Elimu ya Sekondari
      • Divisheni ya Maendeleo ya Jamii
      • Divisheni ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Divisheni ya Miundombinu na Maendeleo ya Miji na Vijijini
      • Divisheni ya Afya, Ustawi wa Jamii na Huduma za Lishe
      • Divisheni ya Mipango na Uratibu
    • Vitengo
      • Kitengo cha Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Udhibiti Taka na Usafi wa Mazingira
      • Kitengo cha Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
      • Kitengo cha Maliasili na Uhifadhi wa Mazingira
      • Kitengo cha Huduma za Sheria
      • Kitengo cha Fedha na Uhasibu
  • Fursa na Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya Afya , Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Lishe bora kwa Afya imara
      • Mapambano dhidi ya Malaria
      • Mapambano dhidi ya Dawa za Kulevya
      • Mapambano dhidi ya VVU/UKIMWI
    • Huduma ya Elimu
      • Huduma ya Elimu ya Awali na Elimu ya Msingi
      • Huduma ya Elimu ya Sekondari
    • Huduma ya Maji
    • Huduma ya Kilimo
    • Huduma ya Mifugo
    • Huduma ya Uvuvi
    • Huduma ya Maendeleo ya Jamii
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Kamati ya Uchumi, Mipango Takwimu
      • Kamati ya Elimu, Afya na maji
      • Kamati ya Kazi, Uchumi na Mazingira
      • Kamati ya Ukimwi
      • Ethics Committee
      • Kamati ya Uchumi, Elimu na Afya
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Instagram
    • Facebook
  • Nyaraka
    • Nyaraka
    • Miongozo

TAKUKURU YAWATAKA WANANCHI KUTOA TAARIFA ZA RUSHWA

Imewekwa : August 9th, 2023

Taasisi ya Kuzuai na Kupambana na Rushwa Mkoa wa Songwe imewataka wananchi katika mkoa huo kutoa ushirikiano wa taarifa za rushwa kwa kuwa ipo sheria ya kuwalinda watoa taarifa hizo.


Pia, imesema kuwa zipo sheria ambazo zinawabana maofisa wa taasisi hiyo kutoweka wazi wanaowapa taarifa za rushwa hivyo wananchi wasiogope kutoa taarifa pale wanapobaini kuwa kuna viashiria vya rushwa hasa kwenye miradi ya maendeleo.


Hayo yamesemwa leo Alhamisi Agosti 9, 2023 na Mkuu Takukuru Mkoa wa Songwe, Edings Mwakambonja wakati akitoa taarifa ya ufuatiliaji wa miradi ya maendeleo kwa kipindi cha mwezi Aprili hadi Juni mwaka huu kwa waandishi wa habari.


Amesema kuwa Takukuru Rafiki imesaidia kuiweka taasisi hiyo karibu na wananchi kutokana na elimu wanayoitoa ambayo imesaidia wananchi kuondoa hofu.


“Katika kipindi cha Aprili mpaka Juni tumefanikiwa kufika katika kata 15 kutoa elimu na kusikiliza kero za wananchi. Kero 84 zilitolewa na kati ya hizo kero 41 zilishatatuliwa na zilizobaki zinaendelea kushughulikiwa” amesema


“Kwa sasa wananchi wanaelewa na wanatoa ushirikiano hasa katika kata tulizoenda kutoa elimu na kusikiliza kero zao. Kuhusu kuwalinda wanaotoa taarifa za rushwa kuna sharia za kuwalinda hivyo wananchi wasiogope watupe taarifa” amesisitiza


Mwakambonja amesema taasisi hiyo ipo kwenye utekelezaji wa kutoa elimu kupitia Takukuru Rafiki katika kata zote 94 za mkoa wa Songwe ambapo mpango huo ni endelevu.


Akizungumzia juu ya uchunguzi na mashtaka katika kipindi hicho cha miezi mitatu, Mkuu huyo wa Takukuru Mkoa wa Songwe amesema kuwa kati ya kesi mpya 14 zilizofunguliwa mahakamani kesi nne zimeamuliwa na kesi zote nne washtakiwa walitiwa hatiani.


Amesema kuwa taasisi hiyo ilipokea malalamiko 33 ambapo 23 yalikuwa yanahusu rushwa huku 10 yakiwa hayahusu rushwa katika kipindi cha miezi mitatu.


“Kesi mpya 14 zilifunguliwa mahakamani ambapo kesi 10 zinaendelea na kesi nne ziliamuliwa. Kesi zote nne washtakiwa walitiwa hatiani na kurejesha fedha” amebainisha

Matangazo

  • Tangazo la Mkutano wa Kawaida wa Baraza la Madiwani kwa Kipindi cha Robo ya Tatu ya Mwaka wa Fedha 2024/2025 May 14, 2025
  • Orodha ya Majimbo Mapya na Yaliyobadilishwa Majina May 12, 2025
  • Taarifa kwa Umma Kuhusu Watahiniwa 694 Kufanya Mtihani wa Taifa wa Kidato cha Sita 2025 May 03, 2025
  • Taarifa kwa Umma February 27, 2025
  • Onyesha Zote

Habari mpya

  • Mashindano ya UMISSETA Ngazi ya Halmashauri Yaanza Rasmi

    June 02, 2025
  • DAS Nkinda: Ziara ya Viongozi DR Congo Ina Manufaa Tunduma, Taifa

    May 30, 2025
  • Tunduma TC Yang'ara Mpira wa Miguu, Kwaya, Bongo Fleva UMITASHUMTA

    June 28, 2025
  • Dkt. Kasululu Ahitimisha Mashindano ya UMITASHUMTA

    May 28, 2025
  • Onyesha Zote

Maktaba ya video

Ubunifu mkoa wa Songwe
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Songwe Shindani Blogspot
  • Watumishi Portal
  • Tunduma yapata hati Inayoridhisha
  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2019
  • Tangazo la kazi sekta ya Afya
  • Sherehe za Muungano
  • Kibali cha Matangazo

Tovuti mashuhuri

  • Ofisi ya Rais, Ikulu
  • Utumishi
  • Tovuti ya Mkoa wa Songwe
  • OR-TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu (NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo

Idadi ya watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Msampania, Chapwa - Tunduma

    Sanduku la Posta: P. O. BOX 73

    Simu ya Mezani: +255 25 2957388

    Simu ya Mkononi: +255 756 427 307

    Barua Pepe: td@tundumatc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki ©2018 Halmashauri ya mji Tunduma. Haki zote zimehifadhiwa