• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
TUNDUMA TOWN COUNCIL
TUNDUMA TOWN COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA MJI TUNDUMA

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mipango
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Divisheni
      • Divisheni ya Utawala na Usimamizi wa Rasilimaliwatu
      • Divisheni ya Biashara, Viwanda na Uwekezaji
      • Divisheni ya Elimu ya Awali na Elimu ya Msingi
      • Divisheni ya Elimu ya Sekondari
      • Divisheni ya Maendeleo ya Jamii
      • Divisheni ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Divisheni ya Miundombinu na Maendeleo ya Miji na Vijijini
      • Divisheni ya Afya, Ustawi wa Jamii na Huduma za Lishe
      • Divisheni ya Mipango na Uratibu
    • Vitengo
      • Kitengo cha Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Udhibiti Taka na Usafi wa Mazingira
      • Kitengo cha Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
      • Kitengo cha Maliasili na Uhifadhi wa Mazingira
      • Kitengo cha Huduma za Sheria
      • Kitengo cha Fedha na Uhasibu
  • Fursa na Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya Afya , Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Lishe bora kwa Afya imara
      • Mapambano dhidi ya Malaria
      • Mapambano dhidi ya Dawa za Kulevya
      • Mapambano dhidi ya VVU/UKIMWI
    • Huduma ya Elimu
      • Huduma ya Elimu ya Awali na Elimu ya Msingi
      • Huduma ya Elimu ya Sekondari
    • Huduma ya Maji
    • Huduma ya Kilimo
    • Huduma ya Mifugo
    • Huduma ya Uvuvi
    • Huduma ya Maendeleo ya Jamii
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Kamati ya Uchumi, Mipango Takwimu
      • Kamati ya Elimu, Afya na maji
      • Kamati ya Kazi, Uchumi na Mazingira
      • Kamati ya Ukimwi
      • Ethics Committee
      • Kamati ya Uchumi, Elimu na Afya
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Instagram
    • Facebook
  • Nyaraka
    • Nyaraka
    • Miongozo

WATOTO WA KIKE, WANAONGOZA KUFANYIWA UKATILI.

Imewekwa : November 29th, 2022

SONGWE: Watoto wa kike wanaongoza kufanyiwa vitendo vya ubakaji, ulawiti na unyanyasaji katika jamii kutokana na wazazi/walezi kuwa bize na shughuli za kiuchumi kuliko za malezi ya watoto.


Hayo yamebainishwa na Katibu Tawala wa Mkoa wa Songwe, Bi. Happiness Seneda wakati wa uzinduzi wa siku 16 za kupinga ukatili na unyanyasaji wa kijinsia uliofanyika katika viwanja vya Sekondari ya Kisimani wilayani Mbozi.


Bi. Happiness Seneda amesema kwa kipindi cha mwaka 2020/2021 watoto 1,096 walifanyiwa vitendo vya ukatili kati ya hao watoto wa kiume 487 na wa kike 612.


Ata kwa kipindi cha miezi mitatu kuanzia Julai hadi Septemba 2022 watoto 485 wamefanyiwa ukatili, wakiume walikuwa 115 na watoto wa kike 370, hii inaonyesha jinsi gani watoto wa kike wako kwenye hatarii, amesema Katibu Tawala wa Mkoa, Bi. Happiness Seneda.


Bi. Happiness Seneda ametoa wito kwa wazazi/walezi kutimiza jukumu vyema la malezi kwa watoto pamoja na majukumu ya kutafuta uchumi ili mtoto anapokuwa nyumbani awe salama na anapokuwa shuleni awe salama.


Mkuu wa Mkoa wa Songwe, Mhe. Waziri Kindamba amemuagiza Kamanda wa Polisi Songwe kuchukua hatua kali dhidi ya wote ambao wanakuwa wamehusika kwenye ukatili dhidi ya watoto na akina mama.


Aidha, Mkuu wa Mkoa ametoa wito kwa jamii kila mtu kumlinda mtoto pale inapoonekana kuna vitendo vya ukatili dhidi yake vinatokea sio lazima awe mtoto wako kwa mzaa.


Mhe. Waziri Kindamba ametoa wito kwa watoto wote kutoa taarifa kwa mama yao, mwalimu au mtu anaye muamini pale atakapo ona anashikwa hovyo katika mwili wake na Baba, mjomba, kaka au mtu yeyote yule.


Pia, Mkuu wa Mkoa amesema Serikali itaanza kuchukua hatua kwa waganga wanaopiga ramli chonganishi na kuwashauri watu waende kubaka au wafanye vitendo visivyofaa kwa watoto wa kike ili aweze kupata mali nyingi na kuwa tajiri.


Wakati huo huo, Mhe. Waziri Kindamba amewaagiza Wakuu Wilaya kuchukua hatua kwa wazazi/walezi ambao hawawapeleki Shule watoto wao kwani nao ni ukatili dhidi ya mtoto.


Matangazo

  • Tangazo la Mkutano wa Kawaida wa Baraza la Madiwani kwa Kipindi cha Robo ya Tatu ya Mwaka wa Fedha 2024/2025 May 14, 2025
  • Orodha ya Majimbo Mapya na Yaliyobadilishwa Majina May 12, 2025
  • Taarifa kwa Umma Kuhusu Watahiniwa 694 Kufanya Mtihani wa Taifa wa Kidato cha Sita 2025 May 03, 2025
  • Taarifa kwa Umma February 27, 2025
  • Onyesha Zote

Habari mpya

  • Mashindano ya UMISSETA Ngazi ya Halmashauri Yaanza Rasmi

    June 02, 2025
  • DAS Nkinda: Ziara ya Viongozi DR Congo Ina Manufaa Tunduma, Taifa

    May 30, 2025
  • Tunduma TC Yang'ara Mpira wa Miguu, Kwaya, Bongo Fleva UMITASHUMTA

    June 28, 2025
  • Dkt. Kasululu Ahitimisha Mashindano ya UMITASHUMTA

    May 28, 2025
  • Onyesha Zote

Maktaba ya video

Ubunifu mkoa wa Songwe
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Songwe Shindani Blogspot
  • Watumishi Portal
  • Tunduma yapata hati Inayoridhisha
  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2019
  • Tangazo la kazi sekta ya Afya
  • Sherehe za Muungano
  • Kibali cha Matangazo

Tovuti mashuhuri

  • Ofisi ya Rais, Ikulu
  • Utumishi
  • Tovuti ya Mkoa wa Songwe
  • OR-TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu (NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo

Idadi ya watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Msampania, Chapwa - Tunduma

    Sanduku la Posta: P. O. BOX 73

    Simu ya Mezani: +255 25 2957388

    Simu ya Mkononi: +255 756 427 307

    Barua Pepe: td@tundumatc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki ©2018 Halmashauri ya mji Tunduma. Haki zote zimehifadhiwa