• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
TUNDUMA TOWN COUNCIL
TUNDUMA TOWN COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA MJI TUNDUMA

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mipango
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Divisheni
      • Divisheni ya Utawala na Usimamizi wa Rasilimaliwatu
      • Divisheni ya Biashara, Viwanda na Uwekezaji
      • Divisheni ya Elimu ya Awali na Elimu ya Msingi
      • Divisheni ya Elimu ya Sekondari
      • Divisheni ya Maendeleo ya Jamii
      • Divisheni ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Divisheni ya Miundombinu na Maendeleo ya Miji na Vijijini
      • Divisheni ya Afya, Ustawi wa Jamii na Huduma za Lishe
      • Divisheni ya Mipango na Uratibu
    • Vitengo
      • Kitengo cha Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Udhibiti Taka na Usafi wa Mazingira
      • Kitengo cha Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
      • Kitengo cha Maliasili na Uhifadhi wa Mazingira
      • Kitengo cha Huduma za Sheria
      • Kitengo cha Fedha na Uhasibu
  • Fursa na Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya Afya , Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Lishe bora kwa Afya imara
      • Mapambano dhidi ya Malaria
      • Mapambano dhidi ya Dawa za Kulevya
      • Mapambano dhidi ya VVU/UKIMWI
    • Huduma ya Elimu
      • Huduma ya Elimu ya Awali na Elimu ya Msingi
      • Huduma ya Elimu ya Sekondari
    • Huduma ya Maji
    • Huduma ya Kilimo
    • Huduma ya Mifugo
    • Huduma ya Uvuvi
    • Huduma ya Maendeleo ya Jamii
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Kamati ya Uchumi, Mipango Takwimu
      • Kamati ya Elimu, Afya na maji
      • Kamati ya Kazi, Uchumi na Mazingira
      • Kamati ya Ukimwi
      • Ethics Committee
      • Kamati ya Uchumi, Elimu na Afya
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Instagram
    • Facebook
  • Nyaraka
    • Nyaraka
    • Miongozo

WAZIRI KAIRUKI ATANGAZA FURSA LUKUKI ZA MIKOPO KWA VIJANA

Imewekwa : January 28th, 2023


WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Angellah Kairuki amewataka vijana wa vyuo vikuu na vyuo vya kati kutumia fursa ya mikopo ya asilimia 10 inayotolewa na halmashauri zote nchini kujiimarisha na kujijenga kimtaji.


Mhe. Kairuki ameyasema hayo kwenye Kongamano la University Ladies and Gentleman lililofanyika katika Chuo Cha Kilimo Cha SUA mkoani Morogoro tarehe 28.01.2023.


Amesema Serikali kupitia halmashauri imekuwa ikitoa mikopo asilimia 10 kwa makundi ya vijana, wanawake na watu wenye ulemavu na kuwataka kutumia fursa hiyo kujijenga kiuchumi.


" Tuendelee kuzitumia fursa kama hizi kujijenga kiuchumi na pia kuongeza mitaji yenu ili muweze kukua na hatimaye kugraduate kutoka kwenye mikopo hiyo ambayo ni mahusi kwa wanaoanza biashara na wakikua huweza kwenda kwenye taasisi nyingine za fedha."


Kairuki amesema katika kipindi cha kati ya Julai hadi Desemba 2022 halmashauri zote nchini zimetoa Sh billion 28 kwa vikundi vya wanawake, vijana na watu wenye ulemavu.


Pia amewasisitizia kutumia fursa hizo katika upatikanaji wa mitaji na fursa zingine zilizopo katika kilimo, ufugaji na uvuvi.


Amesema Serikali imekuwa ikitoa mikopo kwa elimu ya juu na kwa miaka 3 imetoa Sh trilioni 1.68 na kuwa Serikali imekuwa ikiwekeza kwa kuongeza mikopo hiyo mwaka had mwaka. 


" Niwapongeze wale walioamuwa kujiongeza na kuwa wathubutu na kuanza ujasiriamali wakiwa bado wanafunzi wa chuo hii itawasaidia kujiandaa na maisha pindi watakapo maliza masomo yao kwa sababu watakuwa tayar wameshaanzisha shughuli zao za kiuchumi.


Pia Mhe. Kairuki amesema kuna fursa za mikopo inayotolewa na Nssf kwa wajasiriamali wadogo wa viwanda kwa Kushirikiana na Benki ya Azania, Sido pamoja na Baraza la Uwezeshaji wa Wananchi kiuchumi(NEEC) hivyo rai yangu kwenu zitumieni hizo fursa, jifunzeni kwa waliofanikiwa ili muweze kunufaika na fursa hizi kwa sababu Taifa letu linazidi kukua siku hadi siku na Serikali yetu haiwezi kuajiri watu wote wala Sekta binafsi hivyo ni vyema kuangalia na namna mnavyowezw kujiajiri.

Matangazo

  • Tangazo la Mkutano wa Kawaida wa Baraza la Madiwani kwa Kipindi cha Robo ya Tatu ya Mwaka wa Fedha 2024/2025 May 14, 2025
  • Orodha ya Majimbo Mapya na Yaliyobadilishwa Majina May 12, 2025
  • Taarifa kwa Umma Kuhusu Watahiniwa 694 Kufanya Mtihani wa Taifa wa Kidato cha Sita 2025 May 03, 2025
  • Taarifa kwa Umma February 27, 2025
  • Onyesha Zote

Habari mpya

  • Mashindano ya UMISSETA Ngazi ya Halmashauri Yaanza Rasmi

    June 02, 2025
  • DAS Nkinda: Ziara ya Viongozi DR Congo Ina Manufaa Tunduma, Taifa

    May 30, 2025
  • Tunduma TC Yang'ara Mpira wa Miguu, Kwaya, Bongo Fleva UMITASHUMTA

    June 28, 2025
  • Dkt. Kasululu Ahitimisha Mashindano ya UMITASHUMTA

    May 28, 2025
  • Onyesha Zote

Maktaba ya video

Ubunifu mkoa wa Songwe
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Songwe Shindani Blogspot
  • Watumishi Portal
  • Tunduma yapata hati Inayoridhisha
  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2019
  • Tangazo la kazi sekta ya Afya
  • Sherehe za Muungano
  • Kibali cha Matangazo

Tovuti mashuhuri

  • Ofisi ya Rais, Ikulu
  • Utumishi
  • Tovuti ya Mkoa wa Songwe
  • OR-TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu (NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo

Idadi ya watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Msampania, Chapwa - Tunduma

    Sanduku la Posta: P. O. BOX 73

    Simu ya Mezani: +255 25 2957388

    Simu ya Mkononi: +255 756 427 307

    Barua Pepe: td@tundumatc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki ©2018 Halmashauri ya mji Tunduma. Haki zote zimehifadhiwa