• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
TUNDUMA TOWN COUNCIL
TUNDUMA TOWN COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA MJI TUNDUMA

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mipango
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Divisheni
      • Divisheni ya Utawala na Usimamizi wa Rasilimaliwatu
      • Divisheni ya Biashara, Viwanda na Uwekezaji
      • Divisheni ya Elimu ya Awali na Elimu ya Msingi
      • Divisheni ya Elimu ya Sekondari
      • Divisheni ya Maendeleo ya Jamii
      • Divisheni ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Divisheni ya Miundombinu na Maendeleo ya Miji na Vijijini
      • Divisheni ya Afya, Ustawi wa Jamii na Huduma za Lishe
      • Divisheni ya Mipango na Uratibu
    • Vitengo
      • Kitengo cha Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Udhibiti Taka na Usafi wa Mazingira
      • Kitengo cha Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
      • Kitengo cha Maliasili na Uhifadhi wa Mazingira
      • Kitengo cha Huduma za Sheria
      • Kitengo cha Fedha na Uhasibu
  • Fursa na Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya Afya , Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Lishe bora kwa Afya imara
      • Mapambano dhidi ya Malaria
      • Mapambano dhidi ya Dawa za Kulevya
      • Mapambano dhidi ya VVU/UKIMWI
    • Huduma ya Elimu
      • Huduma ya Elimu ya Awali na Elimu ya Msingi
      • Huduma ya Elimu ya Sekondari
    • Huduma ya Maji
    • Huduma ya Kilimo
    • Huduma ya Mifugo
    • Huduma ya Uvuvi
    • Huduma ya Maendeleo ya Jamii
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Kamati ya Uchumi, Mipango Takwimu
      • Kamati ya Elimu, Afya na maji
      • Kamati ya Kazi, Uchumi na Mazingira
      • Kamati ya Ukimwi
      • Ethics Committee
      • Kamati ya Uchumi, Elimu na Afya
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Instagram
    • Facebook
  • Nyaraka
    • Nyaraka
    • Miongozo

ZIARA YA KATIBU MKUU YALETA NEEMA TUNDUMA

Imewekwa : June 3rd, 2022

Katibu Mkuu Wizara ya Mifugo na Uvuvi Ndugu Tikson Nzunda leo tarehe 01/06/2022 amefanya ziara ya siku Moja ndani ya Halmashauri ya MjiTunduma.


Akiongea na wakuu wa Divisheni na Vitengo wa Halmashauri ya Mji Tunduma, Amesema kuwa Tanzania kwa sasa inatakiwa kufuga kisasa ili matokeo yaonekane na sio kufuga kienyeji kama zamani

 Katibu Mkuu Nzunda pia amesema Wizara imeamua kufufua vyuo vyote vilivyokuwa havifanyi kazi kwa weledi na kuamua kupeleka vijana ili wakajifunze stadi mbalimbali uzalishaji wa mifugo wenye tija.


Katika maelezo yake ndugu Nzunda alisema kwa sasa wafugaji wanatakiwa kutumia eneo dogo la uzalishaji (Zero Grazing) kwa kuwa na malisho bora na kuwepo kwa mashamba darasa ya mfano ya malisho kwa wafugaji walau hata kwa hekari moja kila kata za kimkakati ili waweze kujifunza mbinu za uzajilshaji wa malisho bora kwa chakula cha mifugo ili kuongeza uzalishaji wa Maziwa

Pia Katibu mkuu alisisitiza kuwepo mkakati wa kichimba visima vya maji na mabwawa kwa kata za kimkakati ili kuweza kuwasaida wafugaji katika kuhudumia mifugo kwa kunywesha maji safi na salama kwa mifugo yao


“Afya za mifugo zishughulikiwe kwa kudhibiti magonjwa ya Mlipuko na yasiyo ya mlipuko kwa kufanya chanjo ya mifugo ambayo inatakiwa itolewe kwa ratiba moja kwa pamoja ili Halmashauri nzima iweze kuchanja mifugo yote na kuondokana na baadhi ya mifugo kubaki na magonjwa ambayo yanaweza kusababisha magonjwa kwa mifugo mingine. Chango ya Mifugo ni Lazima na sio hiyari hivyo kila mfugaji analazimika mara ratiba ikitoka kupeleka mifugo yake kwenye Chanjo husika” alisema Nzunda

Pia katika kudhibili majongwa yatokanayo na vimelea vya kupe ni lazima kila Mfugajio aogeshe mifugo yake kwa kupeleka kwenye majosho na kama Josho halipo basi watumie Bomba la mkono kuogesha mifugo yao


Pia alishauri Kuanzishwa kwa mnada mkubwa wa mifugo na mazao ya mifugo ambao unaweza kutumika katika kuuza bidhaa ndani na nje ya nchi ukizingatia Tunduma ipo Mpakani mwa nchi za SADC


Pia alisisitiza kuwa Mifugo haitakiwi kuchungwa au kuswagwa katika barabara kwani sio tu inaharibu miundombinu ya barabara bali inakosa ubora wa afya zao, kwani imekuwa ikitembea umbali mrefu sana mfano kutoka mkoa mmoja hadi mwingine na kufanya kupata majonjwa au kuambukiza mifugo mingine katika eneo ambalo halikuwa na magonjwa


Katibu mkuu alimshukuru Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Tunduma kwa kuwawezesha vitendea kazi maafisa Ugani katika kutekeleza majukumu yao ya kila siku hata hivyo jitihada za kuendelea kuwezesha Divisheni za uzalishaji ili ziendelee kuwa na ari ya kufanya kazi


Katika kuhitimisha Katibu mkuu alimpongeza Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Tunduma kwa kuweza kukusanya mapato ya Ndani kwa Zaidi ya asilimia miamoja. Kwani  Halmashauri ya Mji Tunduma ilipanga kukusanya Tzs 7,600,000,000/= kwa bajeti ya mwaka wa fedha 2021/2022. Hata hivyo Halmashauri ya Mji Tunduma mpaka Mei 31/2022 imeweza kukusanya kiasi cha Tzs 7,635,690,500/= ambayo sawa na 100.8%

Matangazo

  • Taarifa kwa Umma Kuhusu Watahiniwa 694 Kufanya Mtihani wa Taifa wa Kidato cha Sita 2025 May 03, 2025
  • Taarifa kwa Umma February 27, 2025
  • Tangazo la Kuitwa Kwenye Usaili January 24, 2025
  • Matokeo ya Kidato cha Nne 2024 January 23, 2025
  • Onyesha Zote

Habari mpya

  • Mhe. Dkt. Nchemba Atembelea OSBP Tunduma

    March 20, 2025
  • Waziri Aweso Aagiza Mradi wa Maji Tunduma, Vwawa Kukamilika kwa Wakati

    March 20, 2025
  • 'Ahadi Imetimia, Bilioni 119.9 Kutumika Mradi wa Maji Tunduma, Vwawa'

    May 20, 2025
  • Wananchi Wanatarajia Uongozi Bora Kutoka Kwenu: DC Mwandobo

    March 05, 2025
  • Onyesha Zote

Maktaba ya video

Ubunifu mkoa wa Songwe
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Songwe Shindani Blogspot
  • Watumishi Portal
  • Tunduma yapata hati Inayoridhisha
  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2019
  • Tangazo la kazi sekta ya Afya
  • Sherehe za Muungano
  • Kibali cha Matangazo

Tovuti mashuhuri

  • Ofisi ya Rais, Ikulu
  • Utumishi
  • Tovuti ya Mkoa wa Songwe
  • OR-TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu (NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo

Idadi ya watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Msampania, Chapwa - Tunduma

    Sanduku la Posta: P. O. BOX 73

    Simu ya Mezani: +255 25 2957388

    Simu ya Mkononi: +255 756 427 307

    Barua Pepe: td@tundumatc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki ©2018 Halmashauri ya mji Tunduma. Haki zote zimehifadhiwa