• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
TUNDUMA TOWN COUNCIL
TUNDUMA TOWN COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA MJI TUNDUMA

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mipango
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Rasilimaliwatu na Utawala
      • Miipangofiji na Mazingira
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Afya
      • Maji
      • Mipango, Takwaimu na Ufuatiliaji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Manunuzi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ufugaji wa Nyuki
  • Fursa na Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Kamati ya Uchumi, Mipango Takwimu
      • Kamati ya Elimu, Afya na maji
      • Kamati ya Kazi, Uchumi na Mazingira
      • Kamati ya Ukimwi
      • Ethics Committee
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

KONGAMANO LA UWEKEZAJI MKOA WA SONGWE

Friday 12th, August 2022
@Vwawa Mkoani Songwe

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Kasimu Majaliwa Majaliwa(MB) anatarajiwa kuwa mgeni rasmi kongamano la uwekezaji Mkoa wa Songwe litakalofanyika 15-17 February 2020 katika Viwanja vya CCM Vwawa.

Mkuu wa Mkoa wa Songwe, Mhe. Brg. Jen. Nicodemus Mwangela amesema lengo la kongamano la uwekezaji ni kuutangaza fursa za uwekezaji na utalii zilizopo Mkoa wa Songwe.

"Mkoa tuna fursa ya barabara kuu ya Tanzania na Zambia ambayo 75% ya mizigo inayoshuka bandari ya Dar inapitia Songwe katika mpaka wa Tunduma pamoja na Reli ya TAZARA" Mhe. Mwangela Mkuu wa Mkoa wa Songwe akitaja baadhi ya fursa, 31 Januari 2020.

Pia, Mhe. Mwangela amesema siku ya kongamano Mkoa utazindua kitabu cha uwekezaji yaani 'Songwe Investment Guideline'

Mhe. Mwangela amewataka wananchi, wafanyabiashara kujitokeza kwa wingi kupata elimu ya uwekezaji na fursa ya uwekezaji.

Kaulimbiu ya kongamano ni wekeza Songwe lango kuu la SADC

Matangazo

  • MAJINA YA WALIOPITA KATIKA USAILI WA ZOEZI LA SENSA 2022 HALMASHAURI YA MJI TUNDUMA July 28, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WASIMAMIZI WA TEHAMA KATIKA ZOEZI LA SENSA 2022 July 18, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WASIMAMIZI WA MAUDHUI KATIKA ZOEZI LA SENSA 2022 July 19, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI MAKARANI KATIKA ZOEZI LA SENSA 2022 July 19, 2022
  • Onyesha Zote

Habari mpya

  • TUNDUMA YAONGOZA TENA MITIHANI KIDATO CHA SITA 2022

    July 05, 2022
  • SHEREHE ZA UTIAJI SAINI KATI YA TBA NA TUNDUMA ZAFANYIKA

    June 27, 2022
  • TUNDUMA KINARA HOJA ZA CAG MKOA WA SONGWE YAPATA HATI INAYORIDHISHA MIAKA SITA MFULULIZO

    June 24, 2022
  • NMB TUNDUMA YAFUNGA MWAKA KIVINGINE

    June 20, 2022
  • Onyesha Zote

Maktaba ya video

Ubunifu mkoa wa Songwe
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Songwe Shindani Blogspot
  • Watumishi Portal
  • Tunduma yapata hati Inayoridhisha
  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2019
  • Tangazo la kazi sekta ya Afya
  • Sherehe za Muungano
  • Kibali cha Matangazo

Tovuti mashuhuri

  • Ofisi ya Rais, Ikulu
  • Utumishi
  • OR-TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu (NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti kuu ya Serikali

Idadi ya watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Msampania, Chapwa - Tunduma

    Sanduku la Posta: P. O. BOX 73

    Simu ya Mezani: +255 25 2957388

    Simu ya Mkononi: +255 752 807 767

    Barua Pepe: td@tundumatc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki ©2018 Halmashauri ya mji Tunduma. Haki zote zimehifadhiwa