• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
TUNDUMA TOWN COUNCIL
TUNDUMA TOWN COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA MJI TUNDUMA

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mipango
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Divisheni
      • Divisheni ya Utawala na Usimamizi wa Rasilimaliwatu
      • Divisheni ya Biashara, Viwanda na Uwekezaji
      • Divisheni ya Elimu ya Awali na Elimu ya Msingi
      • Divisheni ya Elimu ya Sekondari
      • Divisheni ya Maendeleo ya Jamii
      • Divisheni ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Divisheni ya Miundombinu na Maendeleo ya Miji na Vijijini
      • Divisheni ya Afya, Ustawi wa Jamii na Huduma za Lishe
      • Divisheni ya Mipango na Uratibu
    • Vitengo
      • Kitengo cha Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Udhibiti Taka na Usafi wa Mazingira
      • Kitengo cha Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
      • Kitengo cha Maliasili na Uhifadhi wa Mazingira
      • Kitengo cha Huduma za Sheria
      • Kitengo cha Fedha na Uhasibu
  • Fursa na Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya Afya , Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Lishe bora kwa Afya imara
      • Mapambano dhidi ya Malaria
      • Mapambano dhidi ya Dawa za Kulevya
      • Mapambano dhidi ya VVU/UKIMWI
    • Huduma ya Elimu
      • Huduma ya Elimu ya Awali na Elimu ya Msingi
      • Huduma ya Elimu ya Sekondari
    • Huduma ya Maji
    • Huduma ya Kilimo
    • Huduma ya Mifugo
    • Huduma ya Uvuvi
    • Huduma ya Maendeleo ya Jamii
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Kamati ya Uchumi, Mipango Takwimu
      • Kamati ya Elimu, Afya na maji
      • Kamati ya Kazi, Uchumi na Mazingira
      • Kamati ya Ukimwi
      • Ethics Committee
      • Kamati ya Uchumi, Elimu na Afya
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Instagram
    • Facebook
  • Nyaraka
    • Nyaraka
    • Miongozo

Seksheni ya Mifugo

Halmashauri ya Mji Tunduma katika Seksheni ya mifugo imeendelea kutoa huduma za ugani kwa wafugaji ili kuongeza uzalishaji wa mifugo na mazao yake kwa kutoa chanjo za mifugo, kutoa elimu ya ufugaji wenye tija pamoja na matibabu ya mifugo kulingana na idadi ya maafisa ugani waliopo na vitendea kazi vilivyopo ambapo katika eneo lote la utekelezaji, Kata zilizo na mifugo mingi ni Chiwezi, Mpande, Mpemba, Katete na Chipaka.


IKAMA YA WATUMISHI KATIKA SEKSHENI YA MIFUGO NA UVUVI

NA.
IDADI YA MAAFISA MIFUGO NA UVUVI WALIOPO
MAHITAJI YA WATUMISHI
NGAZI YA ELIMU
IDADI 
NGAZI YA ELIMU
IDADI
1
Shahada ya uzamili
1
Shahada ya mifugo
2
2
Shahada (mifugo)
2
Shahada uvuvi
1
3
Stashahada (mifugo)
3
Shahada
(Daktari mifugo)
1
4
Astashahada (uvuvi)
1
Stashahada (mifugo)
13
JUMLA
 
7
 
17


3.2 IDADI YA MIFUGO

  • AINA YA MIFUGO
  • Ng’ombe
  • Mbuzi
  • Kondoo
  • Kuku 
  • Nguruwe
  • Bata 
  • Sungura
  • Mbwa 
  • IDADI
  • Asili
  • Maziwa
  • Asili
  • Maziwa
  • 306
  • Asili
  • Kisasa
  • 1455
  • 293
  • 324
  • 1598
  • 4680
  • 200
  • 665
  • 18
  • 13989
  • 8,926
  • JUMLA
  • 4880
  • 683
  • 306
  • 22,915
  • 1455
  • 293
  • 324
  • 1598



CHANJO ZILIZOTOLEWA KWA KIPINDI CHA MWAKA 2019/2022

Mwaka
Aina ya chanjo
Aina ya mfugo
Mwaka
Aina ya chanjo
Kuku
 
Ng’ombe
Mbuzi 
Kondoo 
 
2019
Kimeta
3,625
326
 
2019
Kideri
27,352
Ndui
19,921
Gumboro 
14,244
2020
 
 
 
 
2020
Kideri
31,579
Ndui
18,437
Gumboro 
13,119
2021
 
 
 
 
2021
Kideri
30,720
Ndui
16,501
Gumboro 
11,269
2022
Kimeta
4,132
512
 
2022
Kideri
34,820
Ndui
17,001
Gumboro 
12,129


 VIKUNDI VYA WAFUGAJI WA NG’OMBE WA MAZIWA, UNUNUZI NA UUZAJI WA NG’OMBE.

Katika Halmashauri ya Mji Tunduma, ufugaji wa ndani (Zero grazing) umekuwa ukisisitizwa kwa kiasi kikubwa ambapo utekelezaji wake unafanyika kwa kuunda vikundi vya ufugaji wa ng’ombe wa maziwa.

Hamashauri kwa kuona umuhimu wa ufugaji wa ndani na utunzaji wa mazingira, imekuwa ikiwezesha vikundi hivyo kwa kuwapatia mkopo kipitia 10% ya mapato ya ndani.

Vikundi hivyo ni kama ifuatavyo: -

NA
JINA LA KIKUNDI
MAHALI KILIPO
SHUGHULI WANAYOFANYA
KIASI CHA MIKOPO WALIOPATIWA
MAENDELEO YA KIKUNDI
1
Mkombozi vijana group
Mwakakati
Ufugaji wa ng’ombe wa maziwa
19,000,000/=
Maendeleo ni mazuri
2
Chipaka group
Chipaka
Ufugaji wa kuku wa mayai
45,000,000/=
Maendeleo ni mazuri
3
Majimoto vijana group
Mpemba
Ufugaji wa ng’ombe wa maziwa
25,000,000/=
Maendeleo ni mazuri
4
Mnadani group
Chiwezi
Ununuzi wa ng’ombe, unenepeshaji na uuzaji wa ng’ombe
35,000,000/=
Maendeleo ni mazuri
5
China Mwashilindi (mlemavu)
Makambini
Ununuzi wa uuzaji wa ng’ombe
9,428,000/=
Maendeleo ni mazuri
6
Mji mwema group
Mpande
Ufugaji wa ng’ombe wa maziwa
15,000,000/=
Maendeleo ni mazuri


 

 

 

Matangazo

  • TANGAZO LA UTEUZI WA VIONGOZI March 14, 2023
  • UTEUZI WA VIONGOZI March 15, 2023
  • UTEUZI NA KUBADILISHIWA VITUO KWA MAKATIBU TAWALA March 16, 2023
  • TAARIFA YA MAKUSANYO YA MAPATO KWA KIPINDI CHA ROBO YA KWANZA YA MWAKA WA FEDHA 2022/23 October 07, 2022
  • Onyesha Zote

Habari mpya

  • KUFIKA MWAKA 2025 TUNATAKA UNYWAJI WA MAZIWA TUNDUMA UFIKE 60% _MWALUKASA

    March 15, 2023
  • SERIKALI YAWEKA MIKAKATI KATIKA USIMAMIZI WA MIRADI YA MENDELEO, UKUSANYAJI NA UDHIBITI WA MAPATO KATIKA HALMASHAURI

    March 14, 2023
  • SIRI NDIO UHAI WA SERIKALI, EPUKENI KUTUMIA MITANDAO YA KIJAMII KUTUMIANA TAARIFA ZA SERIKALI - DKT. MPANGO

    March 13, 2023
  • SITEGEMEI PIKIPIKI HIZI MWENDENAZO BAR _ DC LULANDALA

    March 11, 2023
  • Onyesha Zote

Maktaba ya video

Ubunifu mkoa wa Songwe
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Songwe Shindani Blogspot
  • Watumishi Portal
  • Tunduma yapata hati Inayoridhisha
  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2019
  • Tangazo la kazi sekta ya Afya
  • Sherehe za Muungano
  • Kibali cha Matangazo

Tovuti mashuhuri

  • Ofisi ya Rais, Ikulu
  • Utumishi
  • Tovuti ya Mkoa wa Songwe
  • OR-TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu (NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo

Idadi ya watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Msampania, Chapwa - Tunduma

    Sanduku la Posta: P. O. BOX 73

    Simu ya Mezani: +255 25 2957388

    Simu ya Mkononi: +255 752 807 767

    Barua Pepe: td@tundumatc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki ©2018 Halmashauri ya mji Tunduma. Haki zote zimehifadhiwa