• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
TUNDUMA TOWN COUNCIL
TUNDUMA TOWN COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA MJI TUNDUMA

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mipango
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Divisheni
      • Divisheni ya Utawala na Usimamizi wa Rasilimaliwatu
      • Divisheni ya Biashara, Viwanda na Uwekezaji
      • Divisheni ya Elimu ya Awali na Elimu ya Msingi
      • Divisheni ya Elimu ya Sekondari
      • Divisheni ya Maendeleo ya Jamii
      • Divisheni ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Divisheni ya Miundombinu na Maendeleo ya Miji na Vijijini
      • Divisheni ya Afya, Ustawi wa Jamii na Huduma za Lishe
      • Divisheni ya Mipango na Uratibu
    • Vitengo
      • Kitengo cha Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Udhibiti Taka na Usafi wa Mazingira
      • Kitengo cha Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
      • Kitengo cha Maliasili na Uhifadhi wa Mazingira
      • Kitengo cha Huduma za Sheria
      • Kitengo cha Fedha na Uhasibu
  • Fursa na Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya Afya , Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Lishe bora kwa Afya imara
      • Mapambano dhidi ya Malaria
      • Mapambano dhidi ya Dawa za Kulevya
      • Mapambano dhidi ya VVU/UKIMWI
    • Huduma ya Elimu
      • Huduma ya Elimu ya Awali na Elimu ya Msingi
      • Huduma ya Elimu ya Sekondari
    • Huduma ya Maji
    • Huduma ya Kilimo
    • Huduma ya Mifugo
    • Huduma ya Uvuvi
    • Huduma ya Maendeleo ya Jamii
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Kamati ya Uchumi, Mipango Takwimu
      • Kamati ya Elimu, Afya na maji
      • Kamati ya Kazi, Uchumi na Mazingira
      • Kamati ya Ukimwi
      • Ethics Committee
      • Kamati ya Uchumi, Elimu na Afya
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Instagram
    • Facebook
  • Nyaraka
    • Nyaraka
    • Miongozo

Seksheni ya Kilimo

Uzalishaji wa Mazao ya Chakula na Biashara kwa kipindi cha Miaka mitatu 2019/2020  2021/202.

Halmashauri ya Mji Tunduma ina jumla ya Watu Takribani 159,489 Wanao Hitaji Jumla ya Tani 47,882.4 za Mazao ya Chakula ya Nafaka na Tani 15,960.8 za mazao ya Mikunde kwa Mwaka, Katika kipindi cha miaka mitatu 2019/2020, 2020/2021 na 2021/2022 Halmashauri imeendelea kuzalisha kwa tija mazao ya chakula pamoja na biashara Hivyo Kujihakikishia usalama wa chakula na kukuza uchumi wa wananchi.

Jedwali Na 1:  Hali ya uzalishaji kwa mazao ya chakula na Biashara kwa mwaka 2019/2020 hadi 2021/2022


MAZAO YA CHAKULA (NAFAKA NA MIKUNDE)

ZAO

2019/2020

2020/2021

2021/2022

ENEO(HA)

UZALISHAIJI(TANI)

ENEO (HA)

UZALISHAJI (TANI)

ENEO (HA)

UZALISHAJI (TANI)

Mahindi

10,374.7

46,686

11,127.6

53,412.5

10,524

57,882

Mpunga

8.4

29.4

6

18

8

28

Mtama

24.3

21.87

37.3

29.84

35

35

Ulezi

27

27

44.9

40.40

37

37

Maharage

1012

607.44

747.1

373.55

500

300

Kunde

4.8

2.88

8.2

4.1

2

1.2

Njugu mawe

4

2.8

3.3

1.98

3

2.1

Jumla

11,455.2

47,377.39

11,974.4

53,880.37

11,109

58,285.3



MAZAO YA BIASHARA.








ZAO

2019/2020

2020/2021

2021/2022

ENEO(HA)

UZALISHAIJI(TANI)

ENEO (HA)

UZALISHAJI (TANI)

ENEO (HA)

UZALISHAJI (TANI)

Alizeti

296

177.6

210.2

336.32

135

202

Karanga

343.2

411.84

295.5

354.6

150

195

Soya

14.3

7.15

15

8.5

140

126

Jumla

653.5

596.59

520.7

699.42

425

523

 


Huduma za Ugani 

Halmashauri ya Mji Tunduma inahitaji Maafisa ugani 55 ili waweze kutoa huduma bora za ugani kwa wakulima. Watumishi waliopo ni 21 na upungufu ni 34, Halmashauri inaendelea kuomba kibali cha ajira ili kupunguza tatizo hili la upungufu wa maafisa ugani, aidha Halmashauri imefanikiwa kununua na Kuwapatia Maafisa Ugani Jumla ya Pikipiki 7.


Usambazaji wa Pembejeo za Kilimo 

Kwa msimu wa Mwaka 2021/2022 Halmashauri ya Mji Tunduma ilihitaji Tani 1,549 za mbolea za Kupandia, Tani 1,554 za Mbolea za kukuzia, Tani 1,434 za mbolea ya kuzalishia , Tani 279 za mbegu za Mahindi, Tani 0.3  za Mbegu za Mtama, Tani 2 za Mbegu ya za Mpunga, Tani 83 za Mbegu za Maharage na Tani 0.9 za Mbegu za Alizeti. Wadau mbalimbali wa Kilimo ikiwemo wauza Pembejeo waliendelea kuhamasishwa Kuagiza na Kuuza pembejeo za Kilimo zilizo Bora. Upatikanaji wa Pembejeo ulikua ni mzuri japo Mbolea za Viwandani zilikua zikiuzwa kwa Bei ghari, kati ya Tsh 110,000 hadi 120,000 kwa Mbolea ya Kupandia (DAP) na Tsh 100,000 hadi 105,000 kwa Mbolea ya Kukuzia kulinganisha na msimu wa 2020/2021, aidha Matumizi ya Mbolea ya Samadi yaliendelea kusisitizwa kwa Wakulima Ili kupunguza Gharama za uzalishaji.

Jedwali Na 2. Wastani wa Bei za Mbolea za Kupandia na Kukuzia Kwa Kipindi 2021/2022.


AINA YA MBOLEA
KILO 50(TSH)
KILO 25(TSH)
KILO 10(TSH)
KILO 5(TSH)

Chini
Juu
Chini
Juu
Chini
Juu
Chini
Juu
DAP
110,000
120,000
57,000
60,000
25,000
30,000
13,000
15,000
UREA
100,000
105,000
53,000
55,000
23,000
25,000
12,000
14,000






Matangazo

  • TANGAZO LA UTEUZI WA VIONGOZI March 14, 2023
  • UTEUZI WA VIONGOZI March 15, 2023
  • UTEUZI NA KUBADILISHIWA VITUO KWA MAKATIBU TAWALA March 16, 2023
  • TAARIFA YA MAKUSANYO YA MAPATO KWA KIPINDI CHA ROBO YA KWANZA YA MWAKA WA FEDHA 2022/23 October 07, 2022
  • Onyesha Zote

Habari mpya

  • KUFIKA MWAKA 2025 TUNATAKA UNYWAJI WA MAZIWA TUNDUMA UFIKE 60% _MWALUKASA

    March 15, 2023
  • SERIKALI YAWEKA MIKAKATI KATIKA USIMAMIZI WA MIRADI YA MENDELEO, UKUSANYAJI NA UDHIBITI WA MAPATO KATIKA HALMASHAURI

    March 14, 2023
  • SIRI NDIO UHAI WA SERIKALI, EPUKENI KUTUMIA MITANDAO YA KIJAMII KUTUMIANA TAARIFA ZA SERIKALI - DKT. MPANGO

    March 13, 2023
  • SITEGEMEI PIKIPIKI HIZI MWENDENAZO BAR _ DC LULANDALA

    March 11, 2023
  • Onyesha Zote

Maktaba ya video

Ubunifu mkoa wa Songwe
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Songwe Shindani Blogspot
  • Watumishi Portal
  • Tunduma yapata hati Inayoridhisha
  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2019
  • Tangazo la kazi sekta ya Afya
  • Sherehe za Muungano
  • Kibali cha Matangazo

Tovuti mashuhuri

  • Ofisi ya Rais, Ikulu
  • Utumishi
  • Tovuti ya Mkoa wa Songwe
  • OR-TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu (NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo

Idadi ya watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Msampania, Chapwa - Tunduma

    Sanduku la Posta: P. O. BOX 73

    Simu ya Mezani: +255 25 2957388

    Simu ya Mkononi: +255 752 807 767

    Barua Pepe: td@tundumatc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki ©2018 Halmashauri ya mji Tunduma. Haki zote zimehifadhiwa