• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
TUNDUMA TOWN COUNCIL
TUNDUMA TOWN COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA MJI TUNDUMA

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mipango
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Divisheni
      • Divisheni ya Utawala na Usimamizi wa Rasilimaliwatu
      • Divisheni ya Biashara, Viwanda na Uwekezaji
      • Divisheni ya Elimu ya Awali na Elimu ya Msingi
      • Divisheni ya Elimu ya Sekondari
      • Divisheni ya Maendeleo ya Jamii
      • Divisheni ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Divisheni ya Miundombinu na Maendeleo ya Miji na Vijijini
      • Divisheni ya Afya, Ustawi wa Jamii na Huduma za Lishe
      • Divisheni ya Mipango na Uratibu
    • Vitengo
      • Kitengo cha Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Udhibiti Taka na Usafi wa Mazingira
      • Kitengo cha Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
      • Kitengo cha Maliasili na Uhifadhi wa Mazingira
      • Kitengo cha Huduma za Sheria
      • Kitengo cha Fedha na Uhasibu
  • Fursa na Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya Afya , Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Lishe bora kwa Afya imara
      • Mapambano dhidi ya Malaria
      • Mapambano dhidi ya Dawa za Kulevya
      • Mapambano dhidi ya VVU/UKIMWI
    • Huduma ya Elimu
      • Huduma ya Elimu ya Awali na Elimu ya Msingi
      • Huduma ya Elimu ya Sekondari
    • Huduma ya Maji
    • Huduma ya Kilimo
    • Huduma ya Mifugo
    • Huduma ya Uvuvi
    • Huduma ya Maendeleo ya Jamii
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Kamati ya Uchumi, Mipango Takwimu
      • Kamati ya Elimu, Afya na maji
      • Kamati ya Kazi, Uchumi na Mazingira
      • Kamati ya Ukimwi
      • Ethics Committee
      • Kamati ya Uchumi, Elimu na Afya
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Instagram
    • Facebook
  • Nyaraka
    • Nyaraka
    • Miongozo

DKT. MSONDE ASISITIZA MATUMIZI YA VISHIKWAMBI KWA WALIMU

Imewekwa : July 16th, 2023

Naibu Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais TAMISEMI (Elimu), Dkt. Charles Msonde amewataka Maafisa Elimu Kata kuwasimamia na kuwasidia Walimu namna kutumia vishikwambi walivyopewa kuwezesha ufundishaji na ujifunzaji ili kuinua ubora wa elimu nchini.

Dkt. Msonde ametoa maelekezo hayo wakati akifunga Mafunzo endelevu ya walimu kazini (MEWAKA) kwa Maafisa elimu kata 1,209 yaliyofanyika katika chuo cha Ualimu Klerruu mkoani Iringa.

Dkt. Msonde amesema Mheshimiwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan anaendelea kuimarisha utendaji kazi wa walimu nchini kwa kuwatekelezea masuala mbalimbali ikiwa ni pamoja na kuwapatia walimu vishikwambi hivyo ili kuimarisha ufundishaji na ujifunzaji.

“Kupitia mafunzo haya ya MEWAKA mmefundishwa namna mnavyopaswa kutumia vishikwambi katika ufundishaji na ujifunzaji, hivyo nitoe rai kwenu kuhakikisha vinatumika ipasavyo kuinua ubora wa Elimu nchini”

Amewataka kutumia vishikwambi hivyo kuingia katika Maktaba Mtandao na Mfumo wa Kujifunza (LMS) wa Taasisi ya Elimu Tanzania ili kujipatia vifaa vya kufundishia na kujifunzia pamoja na mbinu mbalimbali za ufundishaji na ujifunzaji.

Aidha, Dkt. Msonde amewata Maafisa Elimu Kata kusimamia kikamilifu vituo vya walimu na kuvitumia kuendesha mafunzo ya walimu kazini ili kuimarisha ufundishaji na ufundishaji.

“Kupitia mafunzo haya mtayafahamu vema majukumu yenu hivyo kahakikisheni vituo vya walimu vinatumika kuendesha mafunzo ya walimu kazini kama ilivyokusudiwa” Dkt. Msonde amesisitiza.

Aidha, amewata Maafisa Elimu Kata kuwa chachu ya kuendeleza na kusimamia Mafunzo Endelevu ya Waalimu Kazini (MEWAKA) ili kuboresha ujifunzaji kwa wanafunzi wa Elimu Awali na Msingi.

Amesema katika mwaka huu wa fedha 2023/24 Serikali imejipanga kuendelea kutoa mafunzo kazini yatakayoimarisha ufundishaji na ufunzaji na itaendelea kuimarisha utoaji wa Mafunzo Endelevu ya Walimu Kazini kwa njia ya TEHAMA.

Naye, Mratibu wa Mafunzo kutoka Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, Huruma Elias amesema Mafunzo hayo yameudhuriwa na Maafisa Elimu Kata 2,384 ambapo katika Kituo cha Chuo cha Ualimu Klerruu jumla ya Maafisa Elimu kata 1,209 wameudhuria

Matangazo

  • Tangazo la Mkutano wa Kawaida wa Baraza la Madiwani kwa Kipindi cha Robo ya Tatu ya Mwaka wa Fedha 2024/2025 May 14, 2025
  • Orodha ya Majimbo Mapya na Yaliyobadilishwa Majina May 12, 2025
  • Taarifa kwa Umma Kuhusu Watahiniwa 694 Kufanya Mtihani wa Taifa wa Kidato cha Sita 2025 May 03, 2025
  • Taarifa kwa Umma February 27, 2025
  • Onyesha Zote

Habari mpya

  • Mashindano ya UMISSETA Ngazi ya Halmashauri Yaanza Rasmi

    June 02, 2025
  • DAS Nkinda: Ziara ya Viongozi DR Congo Ina Manufaa Tunduma, Taifa

    May 30, 2025
  • Tunduma TC Yang'ara Mpira wa Miguu, Kwaya, Bongo Fleva UMITASHUMTA

    June 28, 2025
  • Dkt. Kasululu Ahitimisha Mashindano ya UMITASHUMTA

    May 28, 2025
  • Onyesha Zote

Maktaba ya video

Ubunifu mkoa wa Songwe
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Songwe Shindani Blogspot
  • Watumishi Portal
  • Tunduma yapata hati Inayoridhisha
  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2019
  • Tangazo la kazi sekta ya Afya
  • Sherehe za Muungano
  • Kibali cha Matangazo

Tovuti mashuhuri

  • Ofisi ya Rais, Ikulu
  • Utumishi
  • Tovuti ya Mkoa wa Songwe
  • OR-TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu (NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo

Idadi ya watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Msampania, Chapwa - Tunduma

    Sanduku la Posta: P. O. BOX 73

    Simu ya Mezani: +255 25 2957388

    Simu ya Mkononi: +255 756 427 307

    Barua Pepe: td@tundumatc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki ©2018 Halmashauri ya mji Tunduma. Haki zote zimehifadhiwa