• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
TUNDUMA TOWN COUNCIL
TUNDUMA TOWN COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA MJI TUNDUMA

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mipango
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Divisheni
      • Divisheni ya Utawala na Usimamizi wa Rasilimaliwatu
      • Divisheni ya Biashara, Viwanda na Uwekezaji
      • Divisheni ya Elimu ya Awali na Elimu ya Msingi
      • Divisheni ya Elimu ya Sekondari
      • Divisheni ya Maendeleo ya Jamii
      • Divisheni ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Divisheni ya Miundombinu na Maendeleo ya Miji na Vijijini
      • Divisheni ya Afya, Ustawi wa Jamii na Huduma za Lishe
      • Divisheni ya Mipango na Uratibu
    • Vitengo
      • Kitengo cha Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Udhibiti Taka na Usafi wa Mazingira
      • Kitengo cha Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
      • Kitengo cha Maliasili na Uhifadhi wa Mazingira
      • Kitengo cha Huduma za Sheria
      • Kitengo cha Fedha na Uhasibu
  • Fursa na Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya Afya , Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Lishe bora kwa Afya imara
      • Mapambano dhidi ya Malaria
      • Mapambano dhidi ya Dawa za Kulevya
      • Mapambano dhidi ya VVU/UKIMWI
    • Huduma ya Elimu
      • Huduma ya Elimu ya Awali na Elimu ya Msingi
      • Huduma ya Elimu ya Sekondari
    • Huduma ya Maji
    • Huduma ya Kilimo
    • Huduma ya Mifugo
    • Huduma ya Uvuvi
    • Huduma ya Maendeleo ya Jamii
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Kamati ya Uchumi, Mipango Takwimu
      • Kamati ya Elimu, Afya na maji
      • Kamati ya Kazi, Uchumi na Mazingira
      • Kamati ya Ukimwi
      • Ethics Committee
      • Kamati ya Uchumi, Elimu na Afya
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Instagram
    • Facebook
  • Nyaraka
    • Nyaraka
    • Miongozo

KAMATI YA CCM MKOA WA SONGWE YARIDHISHWA NA UKAMILISHAJI WA AWAMU YA KWANZA YA UJENZI WA SHULE YA DKT. SAMIA S. H.

Imewekwa : June 24th, 2023

Na William Maganga - Tunduma TC


Kamati ya siasa ya CCM mkoa wa Songwe imefurahishwa sana na ukamilishwaji wa miundombinu katika shule ya Dkt. Samia S. H. Sekondari inayotegemewa kupokea wanafunzi wa Kidato cha Tano kuanzia mwezi Agosti mwaka huu

Akizungumza June 24 2023 wakati wa ziara ya kamati ya siasa mkoani hapa mwenyekiti wa chama cha mapinduzi mkoa Radwell Mwampashi amesema wanamshukuru raisi Dr Samia Suluhu Hasani kwa kutoa pesa za kujenga mradi mkubwa ambao anatamani ungekuwa mradi wa kitaifa kulingana na hadhi yake huku akiwataka viongozi wa halmashauri ya mji tunduma kushirikiana na watumishi kuhakikisha wanakamilisha mradi huo kwa wakati


Kwa upande wake mkuu wa wilaya ya Momba Fack Lulandala amesema wanapambana kusimamia ujenzi usiku na mchana ambapo amekuwa na utaratibu wa kutembelea mradi huo kila siku ya juma3 huku akibainisha kuwa wanatarajia kupokea wanafunzi 251 mwezi Agost wa michepuo 5 ikiwemo CBG,PCM,HKL,HGK na HGE


Shule hiyo yenye Gharama ya Tsh. 5,000,000,000/= ambapo Bilioni 4 zinatolewana Serikali kuu na Bilioni 1 imetolewa na Halmashauri ya Mji Tunduma kuunga mkono juhudi za Rais wa Jmahuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hasan


Aidha Mhe. Mwampashi alitoa pole kwa fundi mkuu pamoja na mafundi wengine ambayo wanajenga jengo la ghorofa kwa kifo cha mmoja wa aliyekuwa fundi wa kupaua ambaye kwa bahati mbaya aliteleza na kuanguka lakini alifariki alipokuwa ampelazwa kwa matibabu


Mwenyekiti aliwasihi sana mafundi wote waendelee kuchukua tahadhari pindi wanapoendelea kutekeleza majukumu yao ili kujilinda na ajali zinazoweza kuepukika


Mwisho Mhe. Mwampashi aliwapongeza wananchi wa mtaa wa namole kwa kutoa hekari 53 bure kwa ajili ya ujenzi washule hiyo kwani wameonyesha mmfano wa kuigwa katika kuiunga mkono serikali ya Chama cha Mapinduzi

Matangazo

  • Tangazo la Mkutano wa Kawaida wa Baraza la Madiwani kwa Kipindi cha Robo ya Tatu ya Mwaka wa Fedha 2024/2025 May 14, 2025
  • Orodha ya Majimbo Mapya na Yaliyobadilishwa Majina May 12, 2025
  • Taarifa kwa Umma Kuhusu Watahiniwa 694 Kufanya Mtihani wa Taifa wa Kidato cha Sita 2025 May 03, 2025
  • Taarifa kwa Umma February 27, 2025
  • Onyesha Zote

Habari mpya

  • Mashindano ya UMISSETA Ngazi ya Halmashauri Yaanza Rasmi

    June 02, 2025
  • DAS Nkinda: Ziara ya Viongozi DR Congo Ina Manufaa Tunduma, Taifa

    May 30, 2025
  • Tunduma TC Yang'ara Mpira wa Miguu, Kwaya, Bongo Fleva UMITASHUMTA

    June 28, 2025
  • Dkt. Kasululu Ahitimisha Mashindano ya UMITASHUMTA

    May 28, 2025
  • Onyesha Zote

Maktaba ya video

Ubunifu mkoa wa Songwe
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Songwe Shindani Blogspot
  • Watumishi Portal
  • Tunduma yapata hati Inayoridhisha
  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2019
  • Tangazo la kazi sekta ya Afya
  • Sherehe za Muungano
  • Kibali cha Matangazo

Tovuti mashuhuri

  • Ofisi ya Rais, Ikulu
  • Utumishi
  • Tovuti ya Mkoa wa Songwe
  • OR-TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu (NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo

Idadi ya watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Msampania, Chapwa - Tunduma

    Sanduku la Posta: P. O. BOX 73

    Simu ya Mezani: +255 25 2957388

    Simu ya Mkononi: +255 756 427 307

    Barua Pepe: td@tundumatc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki ©2018 Halmashauri ya mji Tunduma. Haki zote zimehifadhiwa