• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
TUNDUMA TOWN COUNCIL
TUNDUMA TOWN COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA MJI TUNDUMA

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mipango
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Divisheni
      • Divisheni ya Utawala na Usimamizi wa Rasilimaliwatu
      • Divisheni ya Biashara, Viwanda na Uwekezaji
      • Divisheni ya Elimu ya Awali na Elimu ya Msingi
      • Divisheni ya Elimu ya Sekondari
      • Divisheni ya Maendeleo ya Jamii
      • Divisheni ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Divisheni ya Miundombinu na Maendeleo ya Miji na Vijijini
      • Divisheni ya Afya, Ustawi wa Jamii na Huduma za Lishe
      • Divisheni ya Mipango na Uratibu
    • Vitengo
      • Kitengo cha Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Udhibiti Taka na Usafi wa Mazingira
      • Kitengo cha Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
      • Kitengo cha Maliasili na Uhifadhi wa Mazingira
      • Kitengo cha Huduma za Sheria
      • Kitengo cha Fedha na Uhasibu
  • Fursa na Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya Afya , Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Lishe bora kwa Afya imara
      • Mapambano dhidi ya Malaria
      • Mapambano dhidi ya Dawa za Kulevya
      • Mapambano dhidi ya VVU/UKIMWI
    • Huduma ya Elimu
      • Huduma ya Elimu ya Awali na Elimu ya Msingi
      • Huduma ya Elimu ya Sekondari
    • Huduma ya Maji
    • Huduma ya Kilimo
    • Huduma ya Mifugo
    • Huduma ya Uvuvi
    • Huduma ya Maendeleo ya Jamii
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Kamati ya Uchumi, Mipango Takwimu
      • Kamati ya Elimu, Afya na maji
      • Kamati ya Kazi, Uchumi na Mazingira
      • Kamati ya Ukimwi
      • Ethics Committee
      • Kamati ya Uchumi, Elimu na Afya
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Instagram
    • Facebook
  • Nyaraka
    • Nyaraka
    • Miongozo

KIKAO CHA MAANDALIZI YA SENSA

Imewekwa : June 15th, 2022


Halmashauri ya Mji Tunduma imeanza vikao vya kujiandaa kwa ajili ya Sensa ya Watu na Makazi ya mwaka 2022 kwa watendaji wa Kata na mitaa yote ya Halmashauri ya Mji Tunduma

Akiongea katika kikao kazi hicho Mratibu wa Sensa ya watu na makazi wa Halmashauri ya Mji Tunduma Bi. Angela Francis Njaritta amewaeleza watendaji wa kata na mitaa juu ya umuhimu mkubwa wa Sensa na Faida zake

 Katika wasilisho lake Bi. Angela aliwaambia washiriki kuwa “Sensa ya Watu na Makazi ya Mwaka 2022 kama zilivyo sensa nyingine zilizotangulia itatoa majawabu katika mambo ya msingi yanayohusu watu kiafya, kielimu, kijamii, kimazingira na kiuchumi”

Upimaji wa mipango mbalimbali ya Serikali hutegemea taarifa zinazotokana aidha na Sensa au Tafiti ambazo chimbuko lake ni Sensa ya Watu na Makazi

Pia Bi. Angela alieleza Sababu za kufanya sense katika nchi ni;

Kwanza ni kwa mujibu wa Sheria ya Takwimu SURA 351 ambayo inamuagiza Mtakwimu Mkuu wa Serikali kwa kushirikana na Mtakwimu Mkuu wa Serikali, Zanzibar, kufanya Sensa ya Watu na Makazi kila baada ya miaka kumi

Pili ni kukidhi matakwa ya Umoja wa Mataifa unaolekeza kila Nchi Mwanachama kupitia Ofisi za Takwimu kuhakikisha Sensa ya Watu ya Makazi inafanyika kila baada ya miaka mitano au kumi kutegemeana na Uchumi wa Nchi husika

Hivyo, nchi zote duniani ikiwemo Tanzania zinatekeleza Mpango Mkakati wa Umoja wa Mataifa wa Kufanya Sensa ya Watu na Makazi Duniani kwa Miaka ya 2020 ambao unatekelezwa kati ya mwaka 2015 hadi 2024

Utekelezaji wa Sensa, ni moja ya ahadi ya chama kama ilivyoainishwa kwenye Ilani ya Uchaguzi ya CCM ya mwaka 2020 Kifungu Namba 206 (i) ambacho kinaelekeza kufanyika Sensa na tafiti mbalimbali ikiwa ni pamoja na Sensa ya Watu na Makazi ya Mwaka 2022

Aidha naye Mchumi wa Halmashauri ya Mji Tunduma Bwana Agustino Ngetwa aliwaelekeza washiriki juu ya faida kuu za Sensa ya watu na makazi kama ifuatavyo;

  • Ukusanyaji wa taarifa katika kipindi kimoja; ambapo hufanyika kila baada ya miaka 10 hivyo kuwa rahisi kulinganisha mienendo ya viashiria vya kijamii, kiuchumi, na kimazingira
  • Huwezesha kupatikana kwa viashiria vya kitakwimu hadi ngazi ya chini ya utawala
  • Matokeo ya Sensa hutumika kama takwimu za msingi kwa ajili ya kukokotoa makadirio ya idadi ya watu nchini
  • Hutumika kama rejea katika kutathmini na kuhakiki ubora wa matokeo ya tafiti mbalimbali
  • Taarifa za Sensa hutumika kama gawio la viashiria vya kila mwaka vinavyotumika kupima Malengo ya muda mfupi na Mrefu nchini, Malengo ya nchi za Kiafrica 2063 na Malengo Endelevu ya Dunia (SDGs 2030).


Matangazo

  • Tangazo la Mkutano wa Kawaida wa Baraza la Madiwani kwa Kipindi cha Robo ya Tatu ya Mwaka wa Fedha 2024/2025 May 14, 2025
  • Orodha ya Majimbo Mapya na Yaliyobadilishwa Majina May 12, 2025
  • Taarifa kwa Umma Kuhusu Watahiniwa 694 Kufanya Mtihani wa Taifa wa Kidato cha Sita 2025 May 03, 2025
  • Taarifa kwa Umma February 27, 2025
  • Onyesha Zote

Habari mpya

  • Mashindano ya UMISSETA Ngazi ya Halmashauri Yaanza Rasmi

    June 02, 2025
  • DAS Nkinda: Ziara ya Viongozi DR Congo Ina Manufaa Tunduma, Taifa

    May 30, 2025
  • Tunduma TC Yang'ara Mpira wa Miguu, Kwaya, Bongo Fleva UMITASHUMTA

    June 28, 2025
  • Dkt. Kasululu Ahitimisha Mashindano ya UMITASHUMTA

    May 28, 2025
  • Onyesha Zote

Maktaba ya video

Ubunifu mkoa wa Songwe
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Songwe Shindani Blogspot
  • Watumishi Portal
  • Tunduma yapata hati Inayoridhisha
  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2019
  • Tangazo la kazi sekta ya Afya
  • Sherehe za Muungano
  • Kibali cha Matangazo

Tovuti mashuhuri

  • Ofisi ya Rais, Ikulu
  • Utumishi
  • Tovuti ya Mkoa wa Songwe
  • OR-TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu (NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo

Idadi ya watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Msampania, Chapwa - Tunduma

    Sanduku la Posta: P. O. BOX 73

    Simu ya Mezani: +255 25 2957388

    Simu ya Mkononi: +255 756 427 307

    Barua Pepe: td@tundumatc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki ©2018 Halmashauri ya mji Tunduma. Haki zote zimehifadhiwa