• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
TUNDUMA TOWN COUNCIL
TUNDUMA TOWN COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA MJI TUNDUMA

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mipango
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Divisheni
      • Divisheni ya Utawala na Usimamizi wa Rasilimaliwatu
      • Divisheni ya Biashara, Viwanda na Uwekezaji
      • Divisheni ya Elimu ya Awali na Elimu ya Msingi
      • Divisheni ya Elimu ya Sekondari
      • Divisheni ya Maendeleo ya Jamii
      • Divisheni ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Divisheni ya Miundombinu na Maendeleo ya Miji na Vijijini
      • Divisheni ya Afya, Ustawi wa Jamii na Huduma za Lishe
      • Divisheni ya Mipango na Uratibu
    • Vitengo
      • Kitengo cha Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Udhibiti Taka na Usafi wa Mazingira
      • Kitengo cha Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
      • Kitengo cha Maliasili na Uhifadhi wa Mazingira
      • Kitengo cha Huduma za Sheria
      • Kitengo cha Fedha na Uhasibu
  • Fursa na Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya Afya , Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Lishe bora kwa Afya imara
      • Mapambano dhidi ya Malaria
      • Mapambano dhidi ya Dawa za Kulevya
      • Mapambano dhidi ya VVU/UKIMWI
    • Huduma ya Elimu
      • Huduma ya Elimu ya Awali na Elimu ya Msingi
      • Huduma ya Elimu ya Sekondari
    • Huduma ya Maji
    • Huduma ya Kilimo
    • Huduma ya Mifugo
    • Huduma ya Uvuvi
    • Huduma ya Maendeleo ya Jamii
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Kamati ya Uchumi, Mipango Takwimu
      • Kamati ya Elimu, Afya na maji
      • Kamati ya Kazi, Uchumi na Mazingira
      • Kamati ya Ukimwi
      • Ethics Committee
      • Kamati ya Uchumi, Elimu na Afya
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Instagram
    • Facebook
  • Nyaraka
    • Nyaraka
    • Miongozo

MLANGO WA OFISI YA MKURUGENZI UPO WAZI KARIBUNI

Imewekwa : April 24th, 2023

Na Willia Maganga - Tunduma TC

 Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Tunduma Philemon Magesa ameitisha kikao na Wazabuni wa Halmashauri ya Mji Tunduma na kusikiliza kero mbalimbali zinazowakumba na kuzitatua ili kuendela kutoa huduma bora

Mkurugenzi Magesa amesema baada ya kusikia malalamiko mtaani ya baadhi ya Wazabuni kutokulipwa ameamua kuwaita Wazabuni wote na kuwasikiliza ili kujua changamoto wanayokumbana nayo wanapotoa Huduma katika Halmashauri ya Mji Tunduma

Katika kikao hicho kilichofanyika katika Ukumbi wa ofisi ya Mkurugenzi aliwataka kila Mzabuni aseme changamoto yoyote anayokumbana nayo wakati wa kutoa huduma au wakati wa kupatiwa malipo yake

Bwana Manase Mwaselema (TORONTO) alimweleza Mkurugenzi huyo kuwa baadhi ya Malipo yao yamekuwa yakichelewa kutokana na matatizo ambayo wao hawayajui na kuomba ufafanuzi kwa mkurugenzi ili wajue tatizo ni nini hasa wakati huduma wamezitoa.

“Sisi watoa huduma wako tumekuwa tunaumia sana pale tunapoona malipo yetu yanachelewa na tukiwauliza baadhi ya wasaidizi wako wanasema tusubili wakati muda unaenda na sisi ni wafanya biashara hivyo tunaomba malipo yetu yawe yanawahi ili tuweze kujikwamua kulipa mikopo benki” alisisitiza Bwana Mwaselema

Baada ya kusikiliza kero hizo Mkurugenzi waliwahakikishia kuwa madeni yao yote yatalipwa na iwapo kama kuna changamoto yoyote wanayoipata toka kwa wasaidizi wake basi wasisite kuwasiliana naye ili kutatua jambo hilo kwa haraka

“Mzabuni usinung'unike pembeni nipatie taarifa nani anakwamisha utoaji wa Huduma katika Halmashauri ya Mji Tunduma ili nichukue hatua, ukikaa kimya mimi nakuwa najua mambo yanaenda vizuri” alisema Mkurugenzi Magesa

Kwa upande wake Mhandisi wa Halmashauri ya Mji Tunduma Eng. Ally Tinga aliwakumbusha watoa huduma hao kuzingatia ubora wa vifaa na huduma wanazotoa katika taasisi ili kuongeza ufanisi wa kazi

“Niwakumbushe kuendelea kutoa huduma bora kwani mradi ukiwa mzuri ni heshima kwenu ninyi mnaotoa huduma sasa kuna wengine mmekua mnataja bei ya vifaa ya juu sana ambayo kiuhalisia sio sawa, niombe mrekebishe hayo ili tuendee kufanya kazi vizuri huku tukikamilisha miradi ya serikali kikamilifua” alisisitiza Eng. Tinga

Matangazo

  • Tangazo la Mkutano wa Kawaida wa Baraza la Madiwani kwa Kipindi cha Robo ya Tatu ya Mwaka wa Fedha 2024/2025 May 14, 2025
  • Orodha ya Majimbo Mapya na Yaliyobadilishwa Majina May 12, 2025
  • Taarifa kwa Umma Kuhusu Watahiniwa 694 Kufanya Mtihani wa Taifa wa Kidato cha Sita 2025 May 03, 2025
  • Taarifa kwa Umma February 27, 2025
  • Onyesha Zote

Habari mpya

  • Mashindano ya UMISSETA Ngazi ya Halmashauri Yaanza Rasmi

    June 02, 2025
  • DAS Nkinda: Ziara ya Viongozi DR Congo Ina Manufaa Tunduma, Taifa

    May 30, 2025
  • Tunduma TC Yang'ara Mpira wa Miguu, Kwaya, Bongo Fleva UMITASHUMTA

    June 28, 2025
  • Dkt. Kasululu Ahitimisha Mashindano ya UMITASHUMTA

    May 28, 2025
  • Onyesha Zote

Maktaba ya video

Ubunifu mkoa wa Songwe
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Songwe Shindani Blogspot
  • Watumishi Portal
  • Tunduma yapata hati Inayoridhisha
  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2019
  • Tangazo la kazi sekta ya Afya
  • Sherehe za Muungano
  • Kibali cha Matangazo

Tovuti mashuhuri

  • Ofisi ya Rais, Ikulu
  • Utumishi
  • Tovuti ya Mkoa wa Songwe
  • OR-TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu (NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo

Idadi ya watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Msampania, Chapwa - Tunduma

    Sanduku la Posta: P. O. BOX 73

    Simu ya Mezani: +255 25 2957388

    Simu ya Mkononi: +255 756 427 307

    Barua Pepe: td@tundumatc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki ©2018 Halmashauri ya mji Tunduma. Haki zote zimehifadhiwa