• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
TUNDUMA TOWN COUNCIL
TUNDUMA TOWN COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA MJI TUNDUMA

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mipango
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Rasilimaliwatu na Utawala
      • Miipangofiji na Mazingira
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Afya
      • Maji
      • Mipango, Takwaimu na Ufuatiliaji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Manunuzi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ufugaji wa Nyuki
  • Fulsa na Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Kamati ya Uchumi, Mipango Takwimu
      • Kamati ya Elimu, Afya na maji
      • Kamati ya Kazi, Uchumi na Mazingira
      • Kamati ya Ukimwi
      • Ethics Committee
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

MRADI WA UJENZI WA VYUMBA 10 VYA MADARASA SHULE YA MSINGI HAISOJA (GHOROFA)

Imewekwa : March 28th, 2022


Halmashauri ya Mji Tunduma katika kipindi cha mwaka wa fedha 2021/2022 iliidhinisha ujenzi wa ghorofa lenye vyumba 10 vya madarasa kwenye shule ya msingi Haisoja.

Mradi huu ulianzishwa kwa lengo la kupunguza msongamano wa wanafunzi kwenye shule za msingi Sogea na Haisoja kwani shule hizi zina idadi kubwa sana ya wanafunzi. Mradi huu ulianza kutekelezwa rasmi kwenye shule hii mwishoni mwa mwaka 2021. Ambapo vifaa vyote vinanunuliwa na kamati ya manunuzi na ujenzi unafanywa na kampuni ya ujenzi iliyopewa dhamana inayoitwa NESHAL INVESTIMENT COMPANY LIMITED. Kwa muda ya siku 120 sawa na miezi 4.


Mradi huu hadi kukamilika unakadiliwa kutumia jumla ya Tsh. 651,128,504.21 ambapo chanzo cha fedha ni mapato ya ndani ya Halmashauri. 


Manufaa ya mradi wa ujenzi wa vyuma 10 vya madarasa ambayo yanajengwa kwa ghorofa ni kuwa utasaidia sana kupunguza msongamano wa wanafunzi kwenye madarasa katika shule za msingi Sogea na Haisoja. Vilevile wanafunzi watasoma katika mazingira rafiki hivyo ufaulu utaongezeka. Mradi huu utahudumia idadi kubwa ya wanafunzi kwenye eneo dogo. Pia mradi huu utakuwa mradi wa mfano kwa ufanisi wa miradi mingine ya maghorofa itakayoendelea kujengwa kwenye shule zetu.


Katika utekelezaji wa mradi huu kazi ambazo zimetekelezwa mpaka sasa katika awamu ya kwanza ya msingi ni sawa na 100% ambazo kwa mujibu wa mkataba ni Pamoja na :-

  • Kusafisha eneo la mradi
  • Kusawazisha eneo kwa mitambo
  • Kuchimba msingi
  • Kujenga msingi pamoja na nguzo
  • Kujaza kifusi na kusindilia
  • Kumwaga jamvi
  • Kununua vifaa.

Kazi zinazoendelea kwa sasa ni ujenzi wa kuta na kumwaga zege kwenye nguzo.

Matangazo

  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA TUNDUMA May 03, 2022
  • TAARIFA KWA UMMA July 25, 2021
  • KUITWA KAZINI June 25, 2021
  • KUFUNGULIWA KWA HOSPITALI YA MJI TUNDUMA July 23, 2021
  • Onyesha Zote

Habari mpya

  • TUNDUMA YATOA TUZO ZENYE THAMANI YA MILIONI THELATHINI NA NNE KATIKA KILELE CHA JUMA LA ELIMU

    May 07, 2022
  • JENGO LA UTAWALA LA HALMASHAURI YA MJI TUNDUMA KUANZA KAZI JULAI

    April 13, 2022
  • TUNDUMA YAPOKEA MILIONI MIA NNE TOKA SERIKALI KUU UJENZI WA HOSTELI NA MGAHAWA

    April 04, 2022
  • UJENZI NYUMBA YA MKURUGENZI WA HALMASHAURI YA MJI TUNDUMA

    March 29, 2022
  • Onyesha Zote

Maktaba ya video

Ubunifu mkoa wa Songwe
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Songwe Shindani Blogspot
  • Watumishi Portal
  • Tunduma yapata hati Inayoridhisha
  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2019
  • Tangazo la kazi sekta ya Afya
  • Sherehe za Muungano
  • Kibali cha Matangazo

Tovuti mashuhuri

  • Ofisi ya Rais, Ikulu
  • Utumishi
  • OR-TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu (NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti kuu ya Serikali

Idadi ya watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Msampania, Chapwa - Tunduma

    Sanduku la Posta: P. O. BOX 73

    Simu ya Mezani: +255 25 2957388

    Simu ya Mkononi: +255 752 807 767

    Barua Pepe: td@tundumatc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki ©2018 Halmashauri ya mji Tunduma. Haki zote zimehifadhiwa