• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
TUNDUMA TOWN COUNCIL
TUNDUMA TOWN COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA MJI TUNDUMA

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mipango
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Rasilimaliwatu na Utawala
      • Miipangofiji na Mazingira
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Afya
      • Maji
      • Mipango, Takwaimu na Ufuatiliaji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Manunuzi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ufugaji wa Nyuki
  • Fursa na Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Kamati ya Uchumi, Mipango Takwimu
      • Kamati ya Elimu, Afya na maji
      • Kamati ya Kazi, Uchumi na Mazingira
      • Kamati ya Ukimwi
      • Ethics Committee
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

SIKU YA WACHANGIA DAMU DUNIANI YAFANA TUNDUMA

Imewekwa : June 14th, 2022


Kila tarehe 14 Juni huwa ni siku ya Kitaifa ya Uchangiaji damu duniani. Kwa mwaka 2022 Tanzania ilichagua maadhimisho haya kitaifa kufanyika mkoani Songwe, Wilaya ya Momba katika Halmashauri ya Mji Tunduma

Maadhimisho haya yenye kauli mbiu isemayo Kuchangia Damu ni kitendo cha Mshikamano, tuungane kuokoa maisha kwa mara ya kwanza yamevunja rekodi baada ya makadirio ya uchangiaji wa damu kuzidi kiwango tarajiwa

Akiongea katika Maadhimisho hayo mgeni rasmi Mkuu wa mkoa wa Songwe Mhe. Omary Mgumba, amewapongeza sana wanachi wa mkoa wa Songwe kwa kujitokeza na kuchangia damu kwani tendo hilo ni la kuigwa na nilamfano kwa Watanzania wote.

Pamoja na Maadhimisho hayo yemaambatana na utoaji wa vyeti vya utambuzi na shukrani kwa waliochangia damu mara nyingi ndani ya Tanzania kwani kitendo hicho nichakuokoa maisha ya watanzania wengi wenye uhutaji wa damu

Naye Mkuu wa Wilaya ya Momba Mhe. Fakii Lulandala aliwashukuru sana wageni wote na Wizara ya Afya kwa kuamua maadhimisho hayo makubwa kufanyika Tunduma kwani kuna Halmashauri nyingi sana lakini wakaamua Wilaya ya Momba

Matangazo

  • TANGAZO LA AJIRA May 24, 2022
  • TAARIFA KWA UMMA July 25, 2021
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA TUNDUMA May 03, 2022
  • KUITWA KAZINI June 25, 2021
  • Onyesha Zote

Habari mpya

  • TUNDUMA KINARA HOJA ZA CAG MKOA WA SONGWE YAPATA HATI INAYORIDHISHA MIAKA SITA MFULULIZO

    June 24, 2022
  • NMB TUNDUMA YAFUNGA MWAKA KIVINGINE

    June 20, 2022
  • NIMEFURAHISHWA SANA MAPOKEZI YA WANAFUNZI WA KIDATO CHA TANO TUNDUMA

    June 22, 2022
  • KILA MTUMISHI AHAKIKISHE ANAFUNGA MWAKA AKIWA AMEMALIZA KUTEKELEZA MAJUKUMU YAKE_TD MAGESA

    June 17, 2022
  • Onyesha Zote

Maktaba ya video

Ubunifu mkoa wa Songwe
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Songwe Shindani Blogspot
  • Watumishi Portal
  • Tunduma yapata hati Inayoridhisha
  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2019
  • Tangazo la kazi sekta ya Afya
  • Sherehe za Muungano
  • Kibali cha Matangazo

Tovuti mashuhuri

  • Ofisi ya Rais, Ikulu
  • Utumishi
  • OR-TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu (NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti kuu ya Serikali

Idadi ya watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Msampania, Chapwa - Tunduma

    Sanduku la Posta: P. O. BOX 73

    Simu ya Mezani: +255 25 2957388

    Simu ya Mkononi: +255 752 807 767

    Barua Pepe: td@tundumatc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki ©2018 Halmashauri ya mji Tunduma. Haki zote zimehifadhiwa