• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
TUNDUMA TOWN COUNCIL
TUNDUMA TOWN COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA MJI TUNDUMA

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mipango
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Divisheni
      • Divisheni ya Utawala na Usimamizi wa Rasilimaliwatu
      • Divisheni ya Biashara, Viwanda na Uwekezaji
      • Divisheni ya Elimu ya Awali na Elimu ya Msingi
      • Divisheni ya Elimu ya Sekondari
      • Divisheni ya Maendeleo ya Jamii
      • Divisheni ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Divisheni ya Miundombinu na Maendeleo ya Miji na Vijijini
      • Divisheni ya Afya, Ustawi wa Jamii na Huduma za Lishe
      • Divisheni ya Mipango na Uratibu
    • Vitengo
      • Kitengo cha Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Udhibiti Taka na Usafi wa Mazingira
      • Kitengo cha Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
      • Kitengo cha Maliasili na Uhifadhi wa Mazingira
      • Kitengo cha Huduma za Sheria
      • Kitengo cha Fedha na Uhasibu
  • Fursa na Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya Afya , Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Lishe bora kwa Afya imara
      • Mapambano dhidi ya Malaria
      • Mapambano dhidi ya Dawa za Kulevya
      • Mapambano dhidi ya VVU/UKIMWI
    • Huduma ya Elimu
      • Huduma ya Elimu ya Awali na Elimu ya Msingi
      • Huduma ya Elimu ya Sekondari
    • Huduma ya Maji
    • Huduma ya Kilimo
    • Huduma ya Mifugo
    • Huduma ya Uvuvi
    • Huduma ya Maendeleo ya Jamii
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Kamati ya Uchumi, Mipango Takwimu
      • Kamati ya Elimu, Afya na maji
      • Kamati ya Kazi, Uchumi na Mazingira
      • Kamati ya Ukimwi
      • Ethics Committee
      • Kamati ya Uchumi, Elimu na Afya
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Instagram
    • Facebook
  • Nyaraka
    • Nyaraka
    • Miongozo

TARURA YAZIDI KUIMARISHA MAWASILIANO YA MAKAO MAKUU YA MOMBA

Imewekwa : July 19th, 2023

Wakala wa Barabara mjini na vijijini (TARURA) Wilaya ya Momba imezidi kuimarisha mawasiliano ya barabara zinazounganisha makao makuu ya wilaya ya Momba na Halmashauri zake za Momba na Tunduma baada kuifanyia matengenezo makubwa Barabara ya Chapwa-Chindi- Msangano ambayo imegharimu zaidi ya shilingi Bilioni 1.


Barabara ya Chapwa-Chindi-Msangano ambayo imefanyiwa matengenezo kwa kuweka changarawe urefu wa kilomita 29, kujenga makaravati makubwa 5 na madogo yapatayo 10 pamoja ujenzi wa mifereji ya maji mita 1000.


Kaimu Maneja wa TARURA Wilaya ya Momba, Mhandisi Selemani Mkopi amesema awali barabara ya Chapwa-Chindi-Msangano ilikuwa inapitika kwa shida sana haswa nyakati za mvua Hali iliyopelekea TARURA kuomba fedha Serikali kuu na kwenye bajeti 2022/2023 kiasi cha shilingi Bilioni 1,042,259,795. kilitolewa kwa ajili ya matengenezo.


Mkuu wa Mkoa wa Songwe, Mhe. Dkt. Francis Michael akiwa katika ukaguzi wa Barabara ya Chapwa-Chindi-Msangano, Julai 19 amempongeza Rais wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuendelea kutoa fedha za miradi ya Barabara kwa Mkoa wa Songwe na kuwawezesha TARURA kufanikisha miradi.


"Nawapongeza TARURA Songwe kwa usimamizi wa miradi mbalimbali ya Barabara kazi nzuri ila msisite kuchukua hatua kwa wakandarasi wazembe ambao hawataki kutekeleza majukumu yao kwa wakati" Mhe. Dkt. Francis Michael.


Mkuu wa Wilaya ya Momba, Mhe. Fack Lulandala amesema katika kufanikisha kuifungua Barabara ya Chapwa-Chindi-Msangano Serikali imeleta fedha shilingi Bilioni 3 za ujenzi wa daraja la Nkana ambalo hadi kukamilika kwake litachukua miezi 24.


"Daraja hili litakuwa kubwa kwa upili kwa Mkoa wa Songwe likitangulia na lile la Kamsamba tunashukuru tayari mkandarasi amepatikana kazi iliyobaki ni sisi Serikali kumkabidhi kazi rasmi mbele ya wananchi ili wajue Serikali yao inasikia na kutekeleza changamoto zao" Mhe. Fack Lulandala Mkuu wa Wilaya ya Momba.


Matangazo

  • Tangazo la Mkutano wa Kawaida wa Baraza la Madiwani kwa Kipindi cha Robo ya Tatu ya Mwaka wa Fedha 2024/2025 May 14, 2025
  • Orodha ya Majimbo Mapya na Yaliyobadilishwa Majina May 12, 2025
  • Taarifa kwa Umma Kuhusu Watahiniwa 694 Kufanya Mtihani wa Taifa wa Kidato cha Sita 2025 May 03, 2025
  • Taarifa kwa Umma February 27, 2025
  • Onyesha Zote

Habari mpya

  • Mashindano ya UMISSETA Ngazi ya Halmashauri Yaanza Rasmi

    June 02, 2025
  • DAS Nkinda: Ziara ya Viongozi DR Congo Ina Manufaa Tunduma, Taifa

    May 30, 2025
  • Tunduma TC Yang'ara Mpira wa Miguu, Kwaya, Bongo Fleva UMITASHUMTA

    June 28, 2025
  • Dkt. Kasululu Ahitimisha Mashindano ya UMITASHUMTA

    May 28, 2025
  • Onyesha Zote

Maktaba ya video

Ubunifu mkoa wa Songwe
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Songwe Shindani Blogspot
  • Watumishi Portal
  • Tunduma yapata hati Inayoridhisha
  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2019
  • Tangazo la kazi sekta ya Afya
  • Sherehe za Muungano
  • Kibali cha Matangazo

Tovuti mashuhuri

  • Ofisi ya Rais, Ikulu
  • Utumishi
  • Tovuti ya Mkoa wa Songwe
  • OR-TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu (NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo

Idadi ya watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Msampania, Chapwa - Tunduma

    Sanduku la Posta: P. O. BOX 73

    Simu ya Mezani: +255 25 2957388

    Simu ya Mkononi: +255 756 427 307

    Barua Pepe: td@tundumatc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki ©2018 Halmashauri ya mji Tunduma. Haki zote zimehifadhiwa