• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
TUNDUMA TOWN COUNCIL
TUNDUMA TOWN COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA MJI TUNDUMA

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mipango
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Rasilimaliwatu na Utawala
      • Miipangofiji na Mazingira
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Afya
      • Maji
      • Mipango, Takwaimu na Ufuatiliaji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Manunuzi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ufugaji wa Nyuki
  • Fulsa na Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Kamati ya Uchumi, Mipango Takwimu
      • Kamati ya Elimu, Afya na maji
      • Kamati ya Kazi, Uchumi na Mazingira
      • Kamati ya Ukimwi
      • Ethics Committee
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

UJENZI WA MATUNDU 12 YA VYOO SHULE YA MSINGI MAJENGO

Start Date: 2021-05-26
End Date: 2021-07-23

HALMASHAURI YA MJI TUNDUMA

TAARIFA YA UJENZI WA MATUNDU 12 YA VYOO SHULE YA MSINGI MAJENGO 

 

HISTORIA FUPI YA SHULE

Shule ya msingi Majengo ilifunguliwa mwaka 2002, Shule hii inatoa Elimu ya Awali, MEMKWA na Elimu ya msingi darasa la kwanza hadi la Saba, Idadi ya wanafunzi ni  Wavulana 599,Wasichana 613 Jumla 1212. Shule ina walimu wa kiume 3,wakike 14, Jumla 17.




 

 


 HISTORIA YA MRADI;

Fedha ya iliingia Tar 14/4/202 kutoka EP4R kwa ajili ya ujenzi wa matundu 12 ya vyoo.Utekelezaji wa mradi ulianza Tar 26/5/2021. Manunuzi na kulipa fedha za vifaa vya ujenzi yalianza kwa kutumia force akaunti yaani kununua vifaa kwa bei iliyoko sokoni na sio kwa bei ya uzabuni.







HALI HALISI YA UTEKELEZAJI WA MRADI.

Kupitia fedha hiyo sh.13,200,000/= Tumeweza kujenga matundu 12 na 1 la ziada jumla tumejenga matundu 13, matundu11 ya wanafunzi na 2 ya walimu. Matundu 11 ya wanafunzi yamekamilika na 2 ya walimu yamekamilika pia




 

MANUFAA YA MRADI

Zifuatazo ni baadhi  ya faida za  mradi huu kwa shule yetu na jamii kwa ujumla;

  • Ongezeko la matundu ya vyoo na kupunguza msongamano wa wanafunzi kutumia tundu moja.
  • Shule imepata vyoo bora na vya kisasa kabisa..
  • Kuongeza ubora na thamani ya shule.
  • Ongezeko la matundu ya vyoo kutoka 12 hadi 35 ya wanafunzi..

Ongezeko la matundu bora 2 ya vyoo vya walimu.

  • Itakuwa kiigizo chema kwa jamii kuwa na vyoo bora.
  • Idadi ya wasichana kurudi nyumbani kujisitiri wakati wa hedhi itapungua sana au kuisha kabisa.

Matangazo

  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA TUNDUMA May 03, 2022
  • TAARIFA KWA UMMA July 25, 2021
  • KUITWA KAZINI June 25, 2021
  • KUFUNGULIWA KWA HOSPITALI YA MJI TUNDUMA July 23, 2021
  • Onyesha Zote

Habari mpya

  • TUNDUMA YATOA TUZO ZENYE THAMANI YA MILIONI THELATHINI NA NNE KATIKA KILELE CHA JUMA LA ELIMU

    May 07, 2022
  • JENGO LA UTAWALA LA HALMASHAURI YA MJI TUNDUMA KUANZA KAZI JULAI

    April 13, 2022
  • TUNDUMA YAPOKEA MILIONI MIA NNE TOKA SERIKALI KUU UJENZI WA HOSTELI NA MGAHAWA

    April 04, 2022
  • UJENZI NYUMBA YA MKURUGENZI WA HALMASHAURI YA MJI TUNDUMA

    March 29, 2022
  • Onyesha Zote

Maktaba ya video

Ubunifu mkoa wa Songwe
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Songwe Shindani Blogspot
  • Watumishi Portal
  • Tunduma yapata hati Inayoridhisha
  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2019
  • Tangazo la kazi sekta ya Afya
  • Sherehe za Muungano
  • Kibali cha Matangazo

Tovuti mashuhuri

  • Ofisi ya Rais, Ikulu
  • Utumishi
  • OR-TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu (NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti kuu ya Serikali

Idadi ya watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Msampania, Chapwa - Tunduma

    Sanduku la Posta: P. O. BOX 73

    Simu ya Mezani: +255 25 2957388

    Simu ya Mkononi: +255 752 807 767

    Barua Pepe: td@tundumatc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki ©2018 Halmashauri ya mji Tunduma. Haki zote zimehifadhiwa